Hamjambo ?

Hamjambo ?

titimunda unazani kuna wanaotaka kujulikana niwageni ? ilikuwa hivi unatokea mahali hujui uanze na wapi waweza fanya touch ya kwanza tu ukaangukiwa na wote
Utajifunza mengi ukiwa keen observer,unajifunza mengi kwa kusikiliza na kuangalia,ingia jamvini,chukua kikombe cha kahawa then ukae kitako ujifunze kutoka kwa walokuzidi ujuvi.
 
Utajifunza mengi ukiwa keen observer,unajifunza mengi kwa kusikiliza na kuangalia,ingia jamvini,chukua kikombe cha kahawa then ukae kitako ujifunze kutoka kwa walokuzidi ujuvi.

Kwa tulikofikia sasahiv mtoto anazaliwa pesa ikianguka anasema yangu hiyo wewe muda wakuanza kuuusoma mchezo uko wapi ? shedede amekaa mwaka hata PM hapati imebidi atoke apaze sauti mwisho ameipata
 
Back
Top Bottom