Chuo cha utumishi haukukiona?Niliuza nguo wakati huo za mtumba zikagoma, nikarudi kwenye matunda napo holaa!!!!! viatu navyo nikauza holaa!!!! Nikaambiwa viatu subiri Sikukuu ya Idd au wakivuna vitunguu daaah nikaona nitakuwa nakula nini....
Serikali haijapeleka hata vyuo vya kueleweka pale mkuu yaani ni uhasibu tu tena tawi la TIA ndiyo lipo pale. Labda kuna VETA tu pale.
Mkoa wa Kilimanjaro ni balaa tupu bora Singida mara mia. 2016 Nilienda pale nina kilo 80, tai kubwa na 2m mfukoni. Kila kitu nilichofanya hakuna PESA niliyopata. Baada ya mieži 6, nilishafuta kilo 30 kutoka 80.Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo TZ.
Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.
Wanyaturu na wanyiramba samahanini🙌🙌🙌 Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.
Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.
Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo TZ.
Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.
Wanyaturu na wanyiramba samahanini[emoji119][emoji119][emoji119] Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.
Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.
Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Utafikiri unajua kweli wakati kiukweli hakuna unalojua hiyo mikoa mingine hata kufika hujafika. Mmebakia kuwa wajuaji humu JFkuna mikoa migumu sana kiutafutaji hususani ile ambayo imekaliwa na wazawa kwa wingi mfano Lindi Singida nk ogopa unaenda mkoa unakuta wazawa wanajadili huyu atakuwa ni kabila fulani mikoa ya kiutafutaji inajulikana mkuu Dar,mwanza,Mbeya ila Arusha sio sana
mhh mji mkavu mpk watu wake
Hutakiwi kufunga biashara unatakiwa kukaza , ukifunga biashara we sio mtafutaj ..... Komaa utauza tuuUnaenda mko unafungua biashara yako lakini unashangaa mbona wateja sipati!!? Kumbe watu wameshaambiza huyu mwenye duka sio mwenzetu,, kinachofuata ni kifunga biashara huku ukiwa na hasara kibao.
Arusha ni kama Kenya tu 😀😀😀Arusha ni vile wana ubabe, socialization amna.
Akomae wakati biashara haitoki na fremu ya kulipia, umeme wa kulipia na TRA wanataka chao.Hutakiwi kufunga biashara unatakiwa kukaza , ukifunga biashara we sio mtafutaj ..... Komaa utauza tuu
Hahahah Moshi ina ma Tycoon wake mzee... Mgeni kutoboa labda uuze nyanya sokoni ila sio biashara ya duka.Mkoa wa Kilimanjaro ni balaa tupu bora Singida mara mia. 2016 Nilienda pale nina kilo 80, tai kubwa na 2m mfukoni. Kila kitu nilichofanya hakuna PESA niliyopata. Baada ya mieži 6, nilishafuta kilo 30 kutoka 80.
mkuu utakaza vipi?Hutakiwi kufunga biashara unatakiwa kukaza , ukifunga biashara we sio mtafutaj ..... Komaa utauza tuu