Hamna mkoa nimewahi kwama kwenye utafutaji kama Singida

Hamna mkoa nimewahi kwama kwenye utafutaji kama Singida

Niliuza nguo wakati huo za mtumba zikagoma, nikarudi kwenye matunda napo holaa!!!!! viatu navyo nikauza holaa!!!! Nikaambiwa viatu subiri Sikukuu ya Idd au wakivuna vitunguu daaah nikaona nitakuwa nakula nini....

Serikali haijapeleka hata vyuo vya kueleweka pale mkuu yaani ni uhasibu tu tena tawi la TIA ndiyo lipo pale. Labda kuna VETA tu pale.
Chuo cha utumishi haukukiona?
Chuo cha Ualimu kinampanda ulikiona kama kweli unapajua Singida?
 
Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo TZ.

Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.

Wanyaturu na wanyiramba samahanini🙌🙌🙌 Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.

Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.

Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Mkoa wa Kilimanjaro ni balaa tupu bora Singida mara mia. 2016 Nilienda pale nina kilo 80, tai kubwa na 2m mfukoni. Kila kitu nilichofanya hakuna PESA niliyopata. Baada ya mieži 6, nilishafuta kilo 30 kutoka 80.
 
Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo TZ.

Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.

Wanyaturu na wanyiramba samahanini[emoji119][emoji119][emoji119] Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.

Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.

Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.

Ungeishi lindi si ungeichukia nchi nzima,
 
kuna mikoa migumu sana kiutafutaji hususani ile ambayo imekaliwa na wazawa kwa wingi mfano Lindi Singida nk ogopa unaenda mkoa unakuta wazawa wanajadili huyu atakuwa ni kabila fulani mikoa ya kiutafutaji inajulikana mkuu Dar,mwanza,Mbeya ila Arusha sio sana
Utafikiri unajua kweli wakati kiukweli hakuna unalojua hiyo mikoa mingine hata kufika hujafika. Mmebakia kuwa wajuaji humu JF
 
Mkoa wa Kilimanjaro ni balaa tupu bora Singida mara mia. 2016 Nilienda pale nina kilo 80, tai kubwa na 2m mfukoni. Kila kitu nilichofanya hakuna PESA niliyopata. Baada ya mieži 6, nilishafuta kilo 30 kutoka 80.
Hahahah Moshi ina ma Tycoon wake mzee... Mgeni kutoboa labda uuze nyanya sokoni ila sio biashara ya duka.
 
Back
Top Bottom