HAMNA MTU MUOGA KAMA MTANZANIA MIMI MWENYEWE nI MUOGA

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Katika nchi ambayo raia wake ni manyumbu ni tanzania yaani sisi ni waoga sio mchezo tena kama Mimi ndio muoga hatari hatuwezi kuingia barabarani Ili tufe yaani fikiria unaingia barabarani unapambana na askari unachezea kichapo halafu unakufa Ili wachaga wale mema ya nchi aisee Hilo swala hatuwezi na Leo tumedhihirisha kwamba sisi watanzania ni waoga sana na tunafurahia uoga wetu milele ccm ituongoze sisi tutawatii tu maana sisi ni waoga
 
HILI NALO MKALITAZAME.

Nawaagiza akina Kasimu na Kamanda Muliro mwende mkalitazame hili kwa makini tuone "tunakwenda vipi".

Tumeanza kusikia "vijikelele kelele" vya watanganyika kudai haki zao, sasa nawaagiza hakikisheni mnazidisha mbinu za KIGESHI mlizojifunza CUBA ili nchi yetu iweze kuwa na amani.

Kamanda Muliro nina imani na uzoefu wako wa KUPIGA JUDO, umekuwa kamanda machachari katika medani za KIGESHI, na wewe KASIMU natambua umahiri wako wa kupiga domo na kulaghai hivyo ninaamini tutakwenda vizuri.

Na suala JENGINE, msiende huko mkaseme mama ametutuma, hapana, nataka mwende mkafanya kazi kwa kujiamini kisha mnirudishie ripoti yenye HADIDU REJEA.

CCM oyeeeee! Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania........ Hayaaa.....
 
Mkuu, mechi ya jana ya Man City na Arsenal uliichek?
 
Haya jipige vibao viwili usoni sema wewe ni mpumbavu
 
 

Attachments

  • 20240923_105848.jpg
    97.7 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…