Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Sisi ni waoga sanaaaaOkay
Ukiwa muoga unakua umevunja Sheria namba ngapi?Sisi ni waoga sanaaaa
Hamna Sheria iliyovunjwa tunafurahia kuwa waogaUkiwa muoga unakua umevunja Sheria namba ngapi?
Mkuu, mechi ya jana ya Man City na Arsenal uliichek?Katika nchi ambayo raia wake ni manyumbu na tanzania yaani sisi ni waoga sio mchezo tena kama Mimi ndio muoga hatari hatuwezi kuingia barabarani Ili tufe yaani fikiria unaingia barabarani unapambana na askari unachezea kichapo halafu unakufa Ili wachaga wale mema ya nchi aisee Hilo swala hatuwezi na Leo tumedhihirisha kwamba sisi watanzania ni waoga sana na tunafurahia uoga wetu milele ccm ituongoze sisi tutawatii tu maana sisi ni waoga sana ukibisha wewe sio muoga mbona upo hai halafu Kuna maandamano
NililoseMkuu, mechi ya jana ya Man City na Arsenal uliichek?
Ila mm sio muoga wa kukupanda πHILI NALO MKALITAZAME
Wacha tuendelee na uoga wetu.Hamna Sheria iliyovunjwa tunafurahia kuwa waoga
Mwnyw sikuiangalia nahisi ilikuwa bonge moja la mechi, mana Man City alikuwa Anahema juu juuNililose
Tunafurahia uogaWacha tuendelee na uoga wetu.
Haya jipige vibao viwili usoni sema wewe ni mpumbavuKatika nchi ambayo raia wake ni manyumbu na tanzania yaani sisi ni waoga sio mchezo tena kama Mimi ndio muoga hatari hatuwezi kuingia barabarani Ili tufe yaani fikiria unaingia barabarani unapambana na askari unachezea kichapo halafu unakufa Ili wachaga wale mema ya nchi aisee Hilo swala hatuwezi na Leo tumedhihirisha kwamba sisi watanzania ni waoga sana na tunafurahia uoga wetu milele ccm ituongoze sisi tutawatii tu maana sisi ni waoga sana ukibisha wewe sio muoga mbona upo hai halafu Kuna maandamano
Paa paa Wewe ni mpumbavuHaya jipige vibao viwili usoni sema mimi ni mpumbavu
Katika nchi ambayo raia wake ni manyumbu ni tanzania yaani sisi ni waoga sio mchezo tena kama Mimi ndio muoga hatari hatuwezi kuingia barabarani Ili tufe yaani fikiria unaingia barabarani unapambana na askari unachezea kichapo halafu unakufa Ili wachaga wale mema ya nchi aisee Hilo swala hatuwezi na Leo tumedhihirisha kwamba sisi watanzania ni waoga sana na tunafurahia uoga wetu milele ccm ituongoze sisi tutawatii tu maana sisi ni waoga sana ukibisha wewe sio muoga mbona upo hai halafu Kuna maandamano
πππππ unanitia nyege bana πIla mm sio muoga wa kukupanda π
Ndio alihema kweli ndio maana akafungwa 2Mwnyw sikuiangalia nahisi ilikuwa bonge moja la mechi, mana Man City alikuwa Anahema juu juu
Sio mbaya, anayekuja lazima apigwe nyingi mana Pep ana hasira nowNdio alihema kweli ndio maana akafungwa 2
Em njoo PM unitumie pics nione kama umelowaπππππ unanitia nyege bana π