HAMNA MTU MUOGA KAMA MTANZANIA MIMI MWENYEWE nI MUOGA

HAMNA MTU MUOGA KAMA MTANZANIA MIMI MWENYEWE nI MUOGA

Katika nchi ambayo raia wake ni manyumbu ni tanzania yaani sisi ni waoga sio mchezo tena kama Mimi ndio muoga hatari hatuwezi kuingia barabarani Ili tufe yaani fikiria unaingia barabarani unapambana na askari unachezea kichapo halafu unakufa Ili wachaga wale mema ya nchi aisee Hilo swala hatuwezi na Leo tumedhihirisha kwamba sisi watanzania ni waoga sana na tunafurahia uoga wetu milele ccm ituongoze sisi tutawatii tu maana sisi ni waoga
Manyumbu??
 
Katika nchi ambayo raia wake ni manyumbu ni tanzania yaani sisi ni waoga sio mchezo tena kama Mimi ndio muoga hatari hatuwezi kuingia barabarani Ili tufe yaani fikiria unaingia barabarani unapambana na askari unachezea kichapo halafu unakufa Ili wachaga wale mema ya nchi aisee Hilo swala hatuwezi na Leo tumedhihirisha kwamba sisi watanzania ni waoga sana na tunafurahia uoga wetu milele ccm ituongoze sisi tutawatii tu maana sisi ni waoga
jali maisha yako kabla hujajaliwa
 
Watanzani sio waoga sema ni wanafiki sijapata kuona.

Sema vipi acha tu kila mtu afanye mambo yake kuna mda unatamani mambo yawe magumu yani kila kitu kigome ndio akili zirudi tu.

Sasa leo askari anakamata watu tu ata ambao wako kwenye michakato yao.Kisa nini? Wajuzi wa mambo wanasema katiba imesema AMINA watu ku-demostrate peacfully.Sasa ukiwakamata nani anakuwa kavunja katiba? Police au raia wanaotimiza mlichosema AMINA kama taifa.Kama vipi katiba itoke uwe utawala wa manyani sasa mwenye nguvu ndio awe na haki

HOVYO KABISA!
 
Watanzani sio waoga sema ni wanafiki sijapata kuona.

Sema vipi acha tu kila mtu afanye mambo yake kuna mda unatamani mambo yawe magumu yani kila kitu kigome ndio akili zirudi tu.

Sasa leo askari anakamata watu tu ata ambao wako kwenye michakato yao.Kisa nini? Wajuzi wa mambo wanasema katiba imesema AMINA watu ku-demostrate peacfully.Sasa ukiwakamata nani anakuwa kavunja katiba? Police au raia wanaotimiza mlichosema AMINA kama taifa.Kama vipi katiba itoke uwe utawala wa manyani sasa mwenye nguvu ndio awe na haki

HOVYO KABISA!
Wewe watanzania waoga wewe mwenyewe ni muoga na Mimi ni muoga pia
 
Wewe watanzania waoga wewe mwenyewe ni muoga na Mimi ni muoga pia
Mimi sio muoga hivyo man sema unafiki wa wabongo ndio umenichosha.Hivi askari police wao katiba wanasoma, hawasomi? Au ni kutii amri tu.

Unajua kuna vitu unajaribu kuvielewa lakini kuna mda ubongo unakwama kabisa.Hivi logic gani inatumika kukamata watu au kuparade askari wote hivyo?
 
kukiwa na wapinzani kutoka nje ya tanzania nistueni nichukue kadi ila hawa leo we unang'olewa meno na fanya fujo tuone kesho aliekwambieni muandamane yuko ikulu anakunywa juisi au yuko mbele ya kamera anarudisha kadi ya chadema NB:sina mwili wa maandamano mimi mafala nyinyi.
 
kukiwa na wapinzani kutoka nje ya tanzania nistueni nichukue kadi ila hawa leo we unang'olewa meno na fanya fujo tuone kesho aliekwambieni muandamane yuko ikulu anakunywa juisi au yuko mbele ya kamera anarudisha kadi ya chadema NB:sina mwili wa maandamano mimi mafala nyinyi.
Hahaha 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom