Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #21
Wewe kama upo ardhi ya tanzania ni muoga kama Mimi tu nilivyomuoga tena huko ndio waoga hatari mkishaona smg tu mnaufyataWaoga wapo huko Dar,, hayo maandamano wangekuja kufanya huku Mara
Manyumbu??Katika nchi ambayo raia wake ni manyumbu ni tanzania yaani sisi ni waoga sio mchezo tena kama Mimi ndio muoga hatari hatuwezi kuingia barabarani Ili tufe yaani fikiria unaingia barabarani unapambana na askari unachezea kichapo halafu unakufa Ili wachaga wale mema ya nchi aisee Hilo swala hatuwezi na Leo tumedhihirisha kwamba sisi watanzania ni waoga sana na tunafurahia uoga wetu milele ccm ituongoze sisi tutawatii tu maana sisi ni waoga
Yaah ni manyumbuManyumbu??
Na wewe ni Nyumbu mojawapo ama??Yaah ni manyumbu
Ndio watanzania wote sisi ni manyumbuNa wewe ni Nyumbu mojawapo ama??
jali maisha yako kabla hujajaliwaKatika nchi ambayo raia wake ni manyumbu ni tanzania yaani sisi ni waoga sio mchezo tena kama Mimi ndio muoga hatari hatuwezi kuingia barabarani Ili tufe yaani fikiria unaingia barabarani unapambana na askari unachezea kichapo halafu unakufa Ili wachaga wale mema ya nchi aisee Hilo swala hatuwezi na Leo tumedhihirisha kwamba sisi watanzania ni waoga sana na tunafurahia uoga wetu milele ccm ituongoze sisi tutawatii tu maana sisi ni waoga
Hahaha ndio maana yakejali maisha yako kabla hujajaliwa
Wewe ndiyo Nyumbu Kwa sababu umejitambua kuwa ni Nyumbu pengine kutoka Serengeti parkNdio watanzania wote sisi ni manyumbu
kwaio sio uoga ila ulemavu au hatal yoyote itamuhusu mtu huska na sio weng waloopoHahaha ndio maana yake
Watanzania sisi woteni waoga hata wewe ni muogakwaio sio uoga ila ulemavu au hatal yoyote itamuhusu mtu huska na sio weng waloopo
kwaio linda ulcho nacho kabla.hakjalindwa
apana sio muoga kama wew ila nalinda nlivonavyo na afya yangWatanzania sisi woteni waoga hata wewe ni muoga
Ndio uoga huo mzee unapindisha nini wewe ni nyumbu tuapana sio muoga kama wew ila nalinda nlivonavyo na afya yang
Wewe watanzania waoga wewe mwenyewe ni muoga na Mimi ni muoga piaWatanzani sio waoga sema ni wanafiki sijapata kuona.
Sema vipi acha tu kila mtu afanye mambo yake kuna mda unatamani mambo yawe magumu yani kila kitu kigome ndio akili zirudi tu.
Sasa leo askari anakamata watu tu ata ambao wako kwenye michakato yao.Kisa nini? Wajuzi wa mambo wanasema katiba imesema AMINA watu ku-demostrate peacfully.Sasa ukiwakamata nani anakuwa kavunja katiba? Police au raia wanaotimiza mlichosema AMINA kama taifa.Kama vipi katiba itoke uwe utawala wa manyani sasa mwenye nguvu ndio awe na haki
HOVYO KABISA!
Mimi sio muoga hivyo man sema unafiki wa wabongo ndio umenichosha.Hivi askari police wao katiba wanasoma, hawasomi? Au ni kutii amri tu.Wewe watanzania waoga wewe mwenyewe ni muoga na Mimi ni muoga pia
kama wew ulivokili kua ni nyumba unazan wote n sawaNdio uoga huo mzee unapindisha nini wewe ni nyumbu tu
Ungekua sio nyumbu ungeandamana Leo wewe ni nyumbu muoga tukama wew ulivokili kua ni nyumba unazan wote n sawa
Hahaha 🤣🤣🤣🤣kukiwa na wapinzani kutoka nje ya tanzania nistueni nichukue kadi ila hawa leo we unang'olewa meno na fanya fujo tuone kesho aliekwambieni muandamane yuko ikulu anakunywa juisi au yuko mbele ya kamera anarudisha kadi ya chadema NB:sina mwili wa maandamano mimi mafala nyinyi.