Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Ukitoa DRC au Congo ambayo hadi sasa zaidi ya watu million 12 wameuliwa. Sehemu nyingine ni Ethiopia
Ethiopia watu wanauana kama Kuku kisa ukabila. Serikali ya watigray iliyoongoza kwa miaka 30 ilisababisha ukabila uwe mkubwa kwa kutengeneza serikali au vyama vya kikabila vya majimbo.
Kuna chama cha Watigray na jeshi lake
Kuna chama cha Oromo na jeshi lake
Kuna Amhara na jeshi lake, na majimbo mengine hivyo hivyo
Halafu ndio kuna geshi la Muungano.
Abiy Ahmed kaja kutaka kubadilisha hilo kwa kuweka chama kisicho na ukabila au kisicho cha kikanda ! upinzani mkali ukaanza hasa tigray ambao ndo wameongoza nchi kabla yake.
Vita ya Tigray ilipoisha vikundi vingine kama Fano na Oromo liberation front vikaanza. Kifupi kuleta nchi pamoja ambao wameishi kwa ukabila kwa muda mrefu vita lazima itokee kwani kuna viongozi walikuwa wanafaidika na mgawanyo huo.
Majeshi ya Oromo na Fano yamekuwa yakivamia na kuua raia. Ethiopia imebaki kidogo kumeguka vipande vipande.
Ethiopia watu wanauana kama Kuku kisa ukabila. Serikali ya watigray iliyoongoza kwa miaka 30 ilisababisha ukabila uwe mkubwa kwa kutengeneza serikali au vyama vya kikabila vya majimbo.
Kuna chama cha Watigray na jeshi lake
Kuna chama cha Oromo na jeshi lake
Kuna Amhara na jeshi lake, na majimbo mengine hivyo hivyo
Halafu ndio kuna geshi la Muungano.
Abiy Ahmed kaja kutaka kubadilisha hilo kwa kuweka chama kisicho na ukabila au kisicho cha kikanda ! upinzani mkali ukaanza hasa tigray ambao ndo wameongoza nchi kabla yake.
Vita ya Tigray ilipoisha vikundi vingine kama Fano na Oromo liberation front vikaanza. Kifupi kuleta nchi pamoja ambao wameishi kwa ukabila kwa muda mrefu vita lazima itokee kwani kuna viongozi walikuwa wanafaidika na mgawanyo huo.
Majeshi ya Oromo na Fano yamekuwa yakivamia na kuua raia. Ethiopia imebaki kidogo kumeguka vipande vipande.