Hamna sehemu watu wanauana na kufa Afrika kama Ethiopia

Hamna sehemu watu wanauana na kufa Afrika kama Ethiopia

Ukabila ni sumu sana , tena hatari sana kama siku Tanzania ikiweka serikali za majimbo basi ijiandae kwa ukabila.

Hapa TZ ni wapuuzi wachache ndio wakabila hata baadhi ya nyuzi utawaona kujiona bora ya wenzao ..
Wewe unachohofia ni moshi tu na wachaga tutakavyoendelea.
 
Sisi ni wanafiki sio wastaarabu, Tanzania ukabila upo sana, na udini pia upo.
Kama ilivyo kwa watu wengine sio kwa watu wote pia huo ukabila na udini.

Tanzania yapo maeneo ajira zinatolewa Kwa ukabila na udini, hutaambiwa ila kwa siri sana ndio Iko hivyo.

Hao wengine wakifanikiwa kulimaliza maana yake wanakuwa wamemaliza kabisa na sio vinginevyo, huku bado tupo kwenye stage za mwanzo za ukabila na tukifikia kwenye peak ndio tutakuwa kama hao.
Kwahyo bora unafiki huu tulionao ama ni bora tuache huu unafiki ili tuwe kama hao Ethiopia!? Ni dhahiri shairi kbs unachuki na Taifa lako.
 
Nani kakudanganya kuwa serikali za Majimbo zitaleta tribalism?
Ushawahi kutembea wwe? Nenda Kenya ukaone kwanza .....Majimbo yanabana kama pakiwa na majimbo watu wanatunga sheria ndogo ndogo tofauti , wanaweza kuzuia watu kadhaa wasjiajiriwe zaid ya wao kama zanzibar .
 
Acha kuongeza upumbavu. Tanzania hakuna ukabila.

Jidanganye tu mkuu
Kwahyo bora unafiki huu tulionao ama ni bora tuache huu unafiki ili tuwe kama hao Ethiopia!? Ni dhahiri shairi kbs unachuki na Taifa lako.

Unafiki maana yake ni stage yakulifikia tatizo, ili usilifikie tatizo inabidi ukomeshe huo unafiki.

Stage tuliyopo waliipitia pia hao tunaowasema.
 
Sisi ni wanafiki sio wastaarabu, Tanzania ukabila upo sana, na udini pia upo.
Kama ilivyo kwa watu wengine sio kwa watu wote pia huo ukabila na udini.

Tanzania yapo maeneo ajira zinatolewa Kwa ukabila na udini, hutaambiwa ila kwa siri sana ndio Iko hivyo.

Hao wengine wakifanikiwa kulimaliza maana yake wanakuwa wamemaliza kabisa na sio vinginevyo, huku bado tupo kwenye stage za mwanzo za ukabila na tukifikia kwenye peak ndio tutakuwa kama hao.
acha bas us****ge ..mbona unalzmisha vitu ambavyo havipo unaujua ukabila wewe na udini..
tanzania ivo vitu viko wapi,..wapi ulienda ukanyimwa huduma fulani sababu ya kabila lako au dini yako,
wapi uliwahi tishiwa maisha au kuskia mtu kauliwa sbbu ya dini au kabila lake.
mbona tunaishi poa tu nchi hii kwa kuchangamana na kusaidina bila kuulizana huo upuuzi.
inchi hii ni moja na itabaki ivo milele hizo nyingne n speculation za watu wapuuzi wapuuzi kama wewe
 
VIONGOZI NA MISIMAMO YA UBINAFSI NDIYO SHIDA YA AFRIKA, TUNAPO UANA WAZUNGU HUFURAHI KWELI, MAANA TUNAJIPUNGUZA WENYEWE, WAAFRICA NI TISHIO SANA KWA ULIMWENGUNI HUU KWANI HUENDA BY 2060 TUKAJAA KILA PAHALA DUNIANI NA KIZAZI CHA WEUPE KIKAWA FINYU SANA.
 
Sisi ni wanafiki sio wastaarabu, Tanzania ukabila upo sana, na udini pia upo.
Kama ilivyo kwa watu wengine sio kwa watu wote pia huo ukabila na udini.

Tanzania yapo maeneo ajira zinatolewa Kwa ukabila na udini, hutaambiwa ila kwa siri sana ndio Iko hivyo.

Hao wengine wakifanikiwa kulimaliza maana yake wanakuwa wamemaliza kabisa na sio vinginevyo, huku bado tupo kwenye stage za mwanzo za ukabila na tukifikia kwenye peak ndio tutakuwa kama hao.
hauko serious rasta
 
Nani kakudanganya kuwa serikali za Majimbo zitaleta tribalism?
Tutajie nchi ya Afrika yenye serikali za majimbo isiyo na ukabila na ukanda.

Nchi unakuta iko stable, anatokea watu eti tuigawe kikanda na kuwe na bunge la kila kanda au jimbo, na hapohapo budget ya uendeshaji iongezeke. Nchi yenyewe hata vyoo vya kutosha haina, hata kutengeneza chupi kufunikia matako haijitoshelezi. Wapuuzi.
 
Nashukuru Mungu Tanzania hatuna mambo hayo.
Nimetembea sehemu kubwa ya nchi hii, watu wana furaha, hawana kinyongo na kabila lako, dini yako wala kanda unayotoka.
Tuendelee kuenzi urithi huu tulioachiwa na wazee pamoja na viongozi wetu.
 
VIONGOZI NA MISIMAMO YA UBINAFSI NDIYO SHIDA YA AFRIKA, TUNAPO UANA WAZUNGU HUFURAHI KWELI, MAANA TUNAJIPUNGUZA WENYEWE, WAAFRICA NI TISHIO SANA KWA ULIMWENGUNI HUU KWANI HUENDA BY 2060 TUKAJAA KILA PAHALA DUNIANI NA KIZAZI CHA WEUPE KIKAWA FINYU SANA.
Aisee, hivi unajua kuwa hata ukiwachukua watu weusi kutoka duniani kote na uwahesabu kuwa waafrika bado idadi yetu itakuwa ni chini ya 15% ya world population? Unajua kuwa ukiwahesabu tu wahindi na wachina tayari watakaribia idadi ya waafrika wote? Stop exaggeration please.
 
hauko serious rasta

Hahaha wengi mtaona hivi lakini ndio ukweli wenyewe huo.

Watanzania hawa hawa miaka fulani walilalamikia TRA kumejaa wachaga, CRDB kumejaa wachaga, au mnasahau pale Uhamiaji enzi za Unyakyusa bosi alivyokuwa mnyaki, au mnasahau pale idarani bosi alivyokuwa marehemu yule mnyaki.
Au mnasahau JPM tulilalamikia wasukuma kwenye mifumo mpaka tukawaita sukuma gang

Hizi zote ndio red flags kuelekea walipo Ethiopia, Ethiopia hawakufika huko ghafla bin- vu usiku mmoja kulikuwa na stages, shida yetu ni unafiki.

Ukienda Rwanda leo hii watakwambia wamemaliza suala la ukabila lakini sio kweli, zipo red flags nyingi zinazoashiria tatizo lipo ni suala la muda tu.
 
Hahaha wengi mtaona hivi lakini ndio ukweli wenyewe huo.

Watanzania hawa hawa miaka fulani walilalamikia TRA kumejaa wachaga, CRDB kumejaa wachaga, au mnasahau pale Uhamiaji enzi za Unyakyusa bosi alivyokuwa mnyaki, au mnasahau pale idarani bosi alivyokuwa marehemu yule mnyaki.
Au mnasahau JPM tulilalamikia wasukuma kwenye mifumo mpaka tukawaita sukuma gang

Hizi zote ndio red flags kuelekea walipo Ethiopia, Ethiopia hawakufika huko ghafla bin- vu usiku mmoja kulikuwa na stages, shida yetu ni unafiki.

Ukienda Rwanda leo hii watakwambia wamemaliza suala la ukabila lakini sio kweli, zipo red flags nyingi zinazoashiria tatizo lipo ni suala la muda tu.
watu walikua wanapeana michongo kiundugu , ni obvious ni obvious watashea kabila au dini ila usitake kuaminisha umma kwamba ni hali ya hatari kama kenya au ethiopia , angalia tu hata uchaguz wetu mtu hapigiwi kura sababu ya kabila lake au dini yake unless unaongelea visiwani huku bara ukabila na udini upo kiwango kidogo mno
 
Back
Top Bottom