Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
watu walikua wanapeana michongo kiundugu , ni obvious ni obvious watashea kabila au dini ila usitake kuaminisha umma kwamba ni hali ya hatari kama kenya au ethiopia , angalia tu hata uchaguz wetu mtu hapigiwi kura sababu ya kabila lake au dini yake unless unaongelea visiwani huku bara ukabila na udini upo kiwango kidogo mno
Hao wakenya hawakufika tu hapo ghafla.
Lazima kulikuwa na viashiria na siajabu walidharau kama hivi mpaka wakafika huko.
Hatuwezi kusema tatizo halipo wakati lipo, halijalishi ni kiwango gani tayari ni virus.