Hapna Boss inafikirisha snaa ivi umuombe Mt Nani sijui akuombeee wakati labda babu zako walifariki au Baba au mama akuombee kuna tofauti gani sasa na matimbiko kama sis wachaga kuomba babu zetu watupe baraka Kwa kuchinja mbuzi kama sadaka na kunywa mbege wao ni haki sisi siyo hakiJapo hizi mada zimekua nyingi mpaka zinaogopesha.
Ni kwamba watu wameanza kujitambua au ni mwendelezo wa yule shetani kuvuruga waumini?
Wakristo wamepata mtihani mkubwa sana.View attachment 2138109
Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.
Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.
Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.
Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.
Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?
Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.
Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.
Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.
Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Ungejikita kwenye hii mada ingekuwa jambo jema sana.Inalingana tu na kupewa BIKRA 72 peponi na mito ya pombe za kila aina unajichotea tu.
Hili halipingiki ila ukweli lazima usemwe, Wakristo wanatapeliwa sana mpaka mtu unajiuliza hawa akilo hawana ?SIO KWELI,
Utapeli upo kwenye dini zote
Freedom of speechWakristo wamepata mtihani mkubwa sana.
Kingine katika huu uzi naona wameguswa Wakristo lakini wanahamisha mada kwa Waislamu. Ushauri wangu wangelimaliza hili kwanza kisha waje kwetu sisi Waislamu. Hili tatizo kubwa.
Mindset yako ni ya kitajiriin that case, inaonekana wakristo wana hela sana sema tu bahati mbaya inatokea kupigwa
SwadaktaQURAN 9: 34
94. "Enyi mlio amini! Hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa batili na wanazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu. Na wanao kusanya dhahabu na fedha, wala hawazitumii katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wape habari ya adhabu iliyo chungu."
Uhuru una mipaka yake na hakuna kisicho kuwa na mpaka. Kuhamisha kwao mada hakuondoi ukweli wa kuwa kwao wanatapeliwa sana tena kirahisi mno, hili ni tatizo kubwa sana, japokuwa wanachukulia poa. Miongoni mwa athari ni kutokuyafanyia kazi maandiko yao mwisho wa siku Biblia itakuwa haisomwi wala kufanyiwa kazi na tena Wakristo walivyo kuwa si wasomaji wa dini yao basi madhara yanazidi kuwa makubwa.Freedom of speech
Halafu wenyewe wanahisi wanatatua tatizo. Huu ukweli wanatakiwa kuufanyia kazi, aisee hawa watu wanatapelika kirahisi sana, mpaka unajiuliza hata kuona hawaoni au hawahoji ? Kingine ajabu mpaka Wanaume wa huko aisee wanapelekwa pelekwa na mtoto wa kike, wakati sisi wanaume ndiyo wasimamizi wa Wanawake.Mada inahamishwa kwa kukimbia ukweli why
Ndio maana yake. Mkristo OG humkuti anapumbazwa na maujinga ujinga. Cheki hii kitu aliyosema Yesu ambaye ndiye mmiliki wa Ukristo:Wengine ni Makerubi wa Mfalme Zumaridi au sio Mr. StudentTeacher?
Allah anajua atawalipa nini.Mtu akifa shahidi atapewa wanawake BIKRA 72 wenye matiti yaliyosimama na macho ya duara.
Je mwanamke atapewa nini?
Hili halipingiki ila ukweli lazima usemwe, Wakristo wanatapeliwa sana mpaka mtu unajiuliza hawa akilo hawana ?
Sasa mnapoambiwa ukweli wa jambo msichukulie juu juu fatilieni kisha mchukue hatua, musaidiane Wakristo kutoana kwenye huo utapeli. Aisee mmezidi kutapeliwa kirahisi.
Kingine nacho staajabu ni hili la Zumaridi, achilia mbali mengine yaani Mwanamke anawaburuza buruza watoto wa kiume ? Aisee hii imevuka mpaka.
Huku hakuna kutishana bali tunaelezana ukweli.Kwa Wakristo kuna uhuru mkubwa sana, hakuna kutishana kama pande nyingine.
Kutishwa!!!..ukiwa muovu utachomwa Moto,haiwezekani aliyekuumba usimtii halafu asikuadhibuKwa Wakristo kuna uhuru mkubwa sana, hakuna kutishana kama pande nyingine.