Hamornize na Nandy wamekosa VISA vya kuingia Marekani kwa ajili ya show,huku Diamond Platinumz afanikisha katika tamasha la oneafrica_music festival.

Hamornize na Nandy wamekosa VISA vya kuingia Marekani kwa ajili ya show,huku Diamond Platinumz afanikisha katika tamasha la oneafrica_music festival.

Kwa nini wamenyimwa visa? Au waliextend muda walipokwenda USA? Ni sababu gani hasa iliyowafanya wakose visa? Harmonize muoe Sarah ili upate uraia wa Italia. Ukiwa na passport ya Italia hautahitaji visa kuingia USA ni nauli yako tu na cha muhimu usizidishe miezi mitatu kuishi huko.
 
Kwa nini wamenyimwa visa? Au waliextend muda walipokwenda USA? Ni sababu gani hasa iliyowafanya wakose visa? Harmonize muoe Sarah ili upate uraia wa Italia. Ukiwa na passport ya Italia hautahitaji visa kuingia USA ni nauli yako tu na cha muhimu usizidishe miezi mitatu kuishi huko.


Hata akimuoa anatakiwa ahamie hukohuko ndio apewe uraia.
 
Marekani kuna visa maalum za wasanii wanaoenda kufanya maonesho.

Ukienda kuomba visa tofauti na hiyo, wakati wanajua unaenda kufanya onesho, wanakupiga chini.

Kuna msanii, nafikiri ni Ommy Dimpoz aliomba visa tofauti, akapewa, watu wakamchoma immigration ya US kwamba huyu anakuja kufanya show.

Alivyofika airport wakamkatalia kuingia US. Kwa sababu visa yake ilikuwa tofauti na ya msanii anayeenda kufanya show.

Marekani tunaishi kwa kitabu.
 
Kuna watu watasema hujuma...

Labda kuna taratibu hawakuzikamIlisha mapema... sii unajua wasanii wetu walivyo...



Cc: mahondaw
 
Marekani kuna visa maalum za wasanii wanaoenda kufanya maonesho.

Ukienda kuomba visa tofauti na hiyo, wakati wanajua unaenda kufanya onesho, wanakupiga chini.

Kuna msanii, nafikiri ni Ommy Dimpoz aliomba visa tofauti, akapewa, watu wakamchoma immigration ya US kwamba huyu anakuja kufanya show.

Alivyofika airport wakamkatalia kuingia US. Kwa sababu visa yake ilikuwa tofauti na ya msanii anayeenda kufanya show.

Marekani tunaishi kwa kitabu.
Principled country.
 
Shida vijana /watu wengi hasa Watanzania tunajua kurukia tu na kutoa sababu ambazo tunatunga,hiki ndio tunapata shida hapa Tanzania na kuona watu wanaonewa,tatizo uelewa na elimu yetu ni mgogoro,tunafikiria kwa kuangalia siasa,mahaba kwa watu fulani,duniani kokote kuna taratibu mbalimbali kuhusu viza ambazo karibu zinafanana,ni hapa tu Tanzania ambapo watu hufanya wanavyotaka,unapoomba viza ya kwenda kutembea au kutalii hutakiwi kwenda huko kufanya shughuli yoyote inayoingiza pesa au shughuli ambayo ni ya kikazi,lakini kama unaenda kwenda kufanya maonyesha au kwenda kikazi inabidi uombe viza ya kikazi ambayo ina tozo maalumu.Nawashauri vijana wa Kitanzania kabla hujaomba viza jaribu kusoma maelezo ya hiyo viza,kwenye kuomba viza hakuna mchawi bali mchawi unakuwa wewe mwenyewe ,hawa watu wa kutoa viza na wale wa border control ni watu wazoefu na unapodanganya hujua mapema.Pia jaribu kuangalia vipindi kwenye DStv vinaitwa Border Control ,ukikosea masharti ya viza hata kama ni mmarekani utakataliwa kuingia nchi unayotaka kwenda kwa kosa dogo tu,huku unaweza kupata viza lakini ukanyimwa entry na ukarudi na ndege uliyoenda nayo na kuishia kuona magorofa ukiwa dirishani.
 
Marekani kuna visa maalum za wasanii wanaoenda kufanya maonesho.

Ukienda kuomba visa tofauti na hiyo, wakati wanajua unaenda kufanya onesho, wanakupiga chini.

Kuna msanii, nafikiri ni Ommy Dimpoz aliomba visa tofauti, akapewa, watu wakamchoma immigration ya US kwamba huyu anakuja kufanya show.

Alivyofika airport wakamkatalia kuingia US. Kwa sababu visa yake ilikuwa tofauti na ya msanii anayeenda kufanya show.

Marekani tunaishi kwa kitabu.
Hafagiliwi mtu hiyo
Fata Taratibu.... Inaitwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Leo harmonize hana Visa mamaee... shikamoo Mondi!! Figisu zimeaza rasmi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom