Hamornize ni lini ataacha malalamiko?

Hicho kiazi sigara zake ndio zinampalia sasa hivi.

Badala akae kwa kutulia anaanza kubatle na hadi wanaomsaidia kufanya muziki wake ufike mbali zaidi.

Aangalie asije kupotea mazima halafu aje kuingia kwenye uraibu wa unga kwa kujidanganya kuwa anapunguza stress kumbe ndio anajimaliza.
 
Kila mtu huwa analalamika kwa njia zake hata hao anaowalalamikia nao walikuwa wanalalamikia clouds lakini hawakuwahi kwenda mahakaman.
So kulalamika ni jambo la kawaida
 
Kila mtu huwa analalamika kwa njia zake hata hao anaowalalamikia nao walikuwa wanalalamikia clouds lakini hawakuwahi kwenda mahakaman.
So kulalamika ni jambo la kawaida
WCB waliilamikia clouds kwasababu clouds walikuwa pia wana waattack WCB sasa Harmonize nani anamzungumzia? Ile issue ya airport aliongea Sana hakujibiwa na hii pia Wasafi hawajamjibu pia kwanini asimove on? Kama anaona anaonewa si aende mahakamani kitendo chake chakubaki kulalamika tu insta inaonesha lengo lake kuu ni kutafuta attention
 
Mkuu hivi clouds waliwahi waattack wcb hadharani kabisa au kuwasema? Ruge mwenyewe sikuwahi kusikia akijibu tuhuma alizokuwa anarushiwa japo wcb walikuwa wakiwatuhumu mara kwa mara.
So japo hawajibu huenda wanachezeana michezo behind the scene wao ndio wanajua.
Ila hebu tukiachana na harmo kupenda attention hata mm nakubali ni mpenda attention, kwani msanii akiondoka kwemye label akalipa bado label inabaki na haki za publishing au inakuaje. Nauliza tu nipewe elimu ya haya mambo maana mambk ya muziki yako complicated.
Nilishangaa kusoma french montana alilipa $300k kwa ajili ya wimbo wa unforgettable kabla ya kuutoa kama malipo ya sampling fulani imetumika humo.
 
Diamond alifanya interview Times fm akihojiwa na lily ommy ni baada ya kuona japo wamegoma kupiga ngoma zake lakini wanatumia radio yao kumzungumzia vibaya kwenye kipindi Cha shilawadu, kwenye page za clouds pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa clouds kama Diva the boss n.k

Tukija kwenye hiyo issue ya harmonize kwenye mziki kuna vitu viwili mkuu ambapo ni vyamsingi Sana kwenye operation ya label unapoachana na label before ya Muda wako kuisha mlikubaliana na hiyo label kuna kitu unachokifanya ni kununua mkataba na pia kununua haki zako zote, msanii anaweza akanunua mkataba lakini akashindwa kununua haki zake zote za kazi au akanunua baadhi ya haki zake zote unaposhindwa kufanya hivyo inamaana kuwa label ndio anakuwa mmiliki halali wa hizo kazi
 
Bado hatujamuelewa mmqkonde
Labda kesho
 
Nilivyomuelewa Harmonise ni kwamba alilipa 600m ili amiliki haki ya nyimbo zake alizozitoa akiwa "Dabliyusibii" ,kumiliki haki means mapato yanayotokana na kazi hizo ambazo tayari ni haki zake zisiwe zinaenda full "Dabliyusibii" ,hao wabaki kama distributor tu na washare % according mkataba wa kusambaza kazi unavyosema na ndio maana anasema kama wameshindwa kazi ya distrubution aachane nao atafute distributor mwingine.

Kinachofanyika ni kwamba dabliyu wanaendelea kupiga fedha kwa kazi za harmnonise as if kama bado yupo kwenye lebo yao wakati tayari alishawalipa 600m kuvunja mkataba nao wa kuwa kwenye lebo na kuendelea nao kama distributor.
 
Huyu bwana mdogo naona mwisho wake kuwa mbaya na inaoneka hana hela za kumiliki hayo marangeL kumbuka ili nyumba aliyokuwa akiishi alikuwa anajitapa nayo Sana lakini mwisho alikimbia bila kulipa kodi
Daaaaaah,yaani hela alizokuwa anaziteketeza kwenye bata zake,sasa hv anazikumbuka.

Unajua ukiwa mjini inatakiwa uishi kwa akili sana.

Ukiwa nazo ishi kama boya.

Starehe za mjini huwezi kuzimaliza.
 
Kuna kununua mkataba na kununua haki za kazi kafanya vyote viwili? au alinunua mkataba akasahau kununua haki za kazi ili ndio swali la msingi maana naona kwenye maandiko yake kachanganya mambo mengi kwa watu mmoja na kuna wakati anaconfuse hoja zake za malalamiko
 

Ndiyo mkuu ,ndiyo maana akatoa mil 600 na akakabidhiwa hadi accounts zake za social media azirun mwenyewe means alipewa hadi haki miliki za kazi zake alizotoa dabliyusibi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…