steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Hicho kiazi sigara zake ndio zinampalia sasa hivi.Yaani huyu jamaa kanishangaza sana na hizo post zake inaelekea hata music industry haelewi na haelewi hata Royalties zinakuwaje katika music industry yaan kifufupi yeye na team yake hawaelewi haya masuala...
1..Anasema anamiliki asilimia 100 ya kazi zake wakati hapohapo anasema anacollect kazi zake kwa distribution company(ambayo kaitaja hapo ni ziiki media) hadi hapo kashakosa uhalali wa kumiliki kazi yake kwa asilimia 100 maana hizo distribution companies music royalties zote wanakuwa wanazishikilia wao kazi yao hapa inakuwa tu kugawana rights za royalties kwa songwriters, recording artists, labels, publishers, producers kulingana na mkataba wa aslimia..sasa hatujui mkataba walioingia na hao ziiki media maana sometimes Distributors wanakuwa na hatimiliki ya asilimia mia ya kazi zako sometimes labda wanakupa kiasi ladhaa cha fedha mwanzoni ya kwamba kazi zake zilete hasara au faida hiyo itakuwa haikuhusu wewe umeshakula chako before,sasa hatujui huenda kuna malipo ya advance ya awali Harmo alipokea kajala kammalizia Mmakonde wa watu kashasahau
2.sijamuelewa anaposema anataka distribution company na publishing company..wakati kwa maelezo yake kashasaini mkataba na Ziiki wa distribution hapohapo anatangaza instagram anataka distrobution company asap,Lol! Anasema anamiliki kazi zake asilimia mia na wakati hapohapo ziiki wanafanya distribution ya kazi zake huu mkataba na ziiki kauona na kuusaini kweli huyu mmakonde au kasainiwa mbona kama haelewi anachokitaka!?
Badala akae kwa kutulia anaanza kubatle na hadi wanaomsaidia kufanya muziki wake ufike mbali zaidi.
Aangalie asije kupotea mazima halafu aje kuingia kwenye uraibu wa unga kwa kujidanganya kuwa anapunguza stress kumbe ndio anajimaliza.