Hamornize ni lini ataacha malalamiko?

Hamornize ni lini ataacha malalamiko?

Ndiyo mkuu ,ndiyo maana akatoa mil 600 na akakabidhiwa hadi accounts zake za social media azirun mwenyewe means alipewa hadi haki miliki za kazi zake alizotoa dabliyusibi.
Haki zako zimekuwa specifying kwenye mkataba wako ni zipi je amenunua zote au ni baadhi ndio maana akalipa 600M? kwa mujibu wa Harmonize anasema yeye ndio mmiliki wa haki zake kwa asimilia 💯 hapo hapo anasema distributor na publisher ( WCB) wanamzulumu ?swali kama ni kweli yeye ana haki zote inakuaje WCB wameendelea kuwa ni distributor na publisher wake? Na kwanini aongee sasa wakati umepita muda mrefu Sana tangu yeye atoke WCB?
 
Haki zako zimekuwa specifying kwenye mkataba wako ni zipi je amenunua zote au ni baadhi ndio maana akalipa 600M? kwa mujibu wa Harmonize anasema yeye ndio mmiliki wa haki zake kwa asimilia 💯 hapo hapo anasema distributor na publisher ( WCB) wanamzulumu ?swali kama ni kweli yeye ana haki zote inakuaje WCB wameendelea kuwa ni distributor na publisher wake? Na kwanini aongee sasa wakati umepita muda mrefu Sana tangu yeye atoke WCB?

Nadhani aliaamua dabliyusibi waendelee kuuza kazi zake kama distributor na vile kupublish ambapo hiyo kazi anaweza yeye hamonaizi kumpa mtu yeyote maana ana haki miliki nazo.
 
Nadhani aliaamua dabliyusibi waendelee kuuza kazi zake kama distributor na vile kupublish ambapo hiyo kazi anaweza yeye hamonaizi kumpa mtu yeyote maana ana haki miliki nazo.
sasa kwanini alihama? hamna kitu kama hicho.
kama unamiliki masters huwezi kulilia distribution na publishing kwamba unazulumiwa wakati haki zote unazo
 
Hicho kiazi sigara zake ndio zinampalia sasa hivi.

Badala akae kwa kutulia anaanza kubatle na hadi wanaomsaidia kufanya muziki wake ufike mbali zaidi.

Aangalie asije kupotea mazima halafu aje kuingia kwenye uraibu wa unga kwa kujidanganya kuwa anapunguza stress kumbe ndio anajimaliza.
Harmonize ni Dudu Baya wa miaka michache ijayo.
 
Mkuu hivi clouds waliwahi waattack wcb hadharani kabisa au kuwasema? Ruge mwenyewe sikuwahi kusikia akijibu tuhuma alizokuwa anarushiwa japo wcb walikuwa wakiwatuhumu mara kwa mara.
So japo hawajibu huenda wanachezeana michezo behind the scene wao ndio wanajua.
Ila hebu tukiachana na harmo kupenda attention hata mm nakubali ni mpenda attention, kwani msanii akiondoka kwemye label akalipa bado label inabaki na haki za publishing au inakuaje. Nauliza tu nipewe elimu ya haya mambo maana mambk ya muziki yako complicated.
Nilishangaa kusoma french montana alilipa $300k kwa ajili ya wimbo wa unforgettable kabla ya kuutoa kama malipo ya sampling fulani imetumika humo.
Hiyo hutegemea na mkataba ulivyokuwa na baada ya kuvunjwa vipengele ambavyo bado vinabana some rights kuvijua ni lazima uyasome yaliyomo kifungu kwa kifungu, nadhani dogo aache mambo ya bangi na akili za 'kitaa' atafute lawyer atakayeweza kuyapitia yote kifungu kwa kifungu kama anaibiwa basi awashtaki wanaomuibia kama kuna sehemu alikosea akawa kajiingiza mkenge basi atafute namna ya kurekebisha makosa
Hawezi kutatua matatizo yake kupitia Insta-story.
 
Diamond alifanya interview Times fm akihojiwa na lily ommy ni baada ya kuona japo wamegoma kupiga ngoma zake lakini wanatumia radio yao kumzungumzia vibaya kwenye kipindi Cha shilawadu, kwenye page za clouds pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa clouds kama Diva the boss n.k

Tukija kwenye hiyo issue ya harmonize kwenye mziki kuna vitu viwili mkuu ambapo ni vyamsingi Sana kwenye operation ya label unapoachana na label before ya Muda wako kuisha mlikubaliana na hiyo label kuna kitu unachokifanya ni kununua mkataba na pia kununua haki zako zote, msanii anaweza akanunua mkataba lakini akashindwa kununua haki zake zote za kazi au akanunua baadhi ya haki zake zote unaposhindwa kufanya hivyo inamaana kuwa label ndio anakuwa mmiliki halali wa hizo kazi
Brilliant clarification.
 
Yeah.
[emoji817][emoji3581]
ANA TATIZO YULE LA KUTOKUJIAMINI, NI MLALAMISHI NA AKILALAMIKA ANATAKA KILA MTU ASIKIE, HATA KWA KUIMBA.NIMEFUATILIA NIKAGUNDUA NI UFUPI NA PENGINE HAIPENDI SURA YAKE PIA.UKICHUNGUZA UTAGUNDUA NI PESA TU INAMFANYA ANGALAU ATAMBE.
UKIJA KWA SABABU ZA KIUTU NA KIBINAADAMU ANAKOSA HIZI HAIBA NA HUTUMIA NGUVU NYINGI KUJIWEKEZA KWA WANAWAKE KULIKO WAO KUMKUBALI.HII KITU NAHISI INAMUUMA SANA, SASA ANAJIKUTA MLALAMISHI HATA KATIKA MAMBO YASOHITAJI ULALAMISHI.
KINGINE ANAPENDA KILE MNAITA KIKI YAANI KUFANYA MAMBO KIUONGO UONGO NA KISENGELENYUMA NYUMA ILI TU ATEKE WATU.nawasilisha ujinga wangu.
 
Namkumbuka Mwanasiasa Maarufu Kuwahi Kutokea Tanzania, Mh. Edward Ngoyai Lowassa (Mungu amsaidie Apone Haraka) aliwahi kusema kuwa, Watanzania Hatuhitaji mambo Makubwa na Mengi zaidi ya ELIMU..!!! ELIMU..!!! ELIMU…!!!

Hakuacha Kusisitiza Hilo hata alipowataka watu kuzungusha Mikono, Baada Ya Kumaliza Kuzungusha Mikono bado alisisitizia ELIMU…!!! ELIMU…!!! ELIMU…!!! kwa Watanzania.

Leo Nimemkumbuka Mh. Edward Ngoyai Lowassa baada ya Kuona Malalamiko Ya Harmonize kupitia Insta Stort Yake. Harmonize Analalamikia kutokulipwa Pesa Za Mauzo ya Mziki wake na Kutishia Kutafuta Distribution and Publucation company Mpya Kama kampuni Ya Mzikii haitaweza Kumsaidia.

Ameenda Mbali zaidi na Kusema kuwa hata Kwangwaru ambayo ilifikisha Views Millioni 100 hakupata Hata USD Dollar 1 ya Distrubution and Publication. Ameomba Mzikii wamuoneshe njia Ya Yeye kupata hizo haki zake. Back to the Point, Harmonize Anakosa ELIMU..!!! ??? Au Ameamua Maisha Yake yawe kuwa Kila Mwaka Awe na Jambo…??

Harmonize katika Maandiko yake Ameonesha Kuwaalaumu na Kuwavaa Record Lable ya Wasafi Kama Wanyonyaji na wanaendelea Kumnyonya kupitia Distribution and Publication ya Kazi Zake. Tulisha Jadiri na Kumshauri Harmonize Kuwa Sisi anao Tulalamikia Instagram hatuna Mkataba wake wala Hatuna kitu chochote kinacho Tuonesha Makubaliano waliyo yafanya Kati yake na Wasafi.

Ni vyema Harmonize Akaenda Mahakamani na Kufanya Mambo Yake kimya Kimya Bila Kuwatishia Mzikii kuwa aanaondoka Au ata fight na mtu kama anahisi Ana Haki ya Kupata Anacho stahili. Ni vyema sana hawa wasanii wakawa na ELIMU…!!! Ya Sheria Kuelewa Kwa Undani Mikataba wanayo ingia badala ya kuja Public na kutafuta Huruma Ya watu Wa Instagram kuhisi unanyonywa wakati Sio. Nacho elewa ni kuwa Ukiwa Chini Ya Record label Au Kampuni Yoyote kuna Vitu vingi kisheria unakuwa hauhisiki moja Kwa Moja na Badala Yakd kampuni inakuwa inakusimamia.

Ni wakati sasa Wa Harmonize kukubari kuwa kuna Pahala Alikosea na Hayupo Tena Wasafi. Otherwise afanye Publication ya Makubaliano waliyo yafanya Ili wale waliobobea Sheria Wamsaidie. Management ya Harmonize inakosea Vitu vingi sana na Ipo siku watakuja Kulipa Gharama kubwa sana kama wenye Hizi Kampuni anazo Zishambulia Public wakiamua Kutafuta Heshima Yao mahakamani na Kuchoshwa Kuuliwa Brand Yao. Harmonize Hajafikia Level ya Kuwatishia Mzikii au Wasafi kwasababu Alikotokea Kila Mmoja Anakujua.

Ni wakati sasa wa yeye kuacha Wachumba zake kuwa Ma-manager na Kuwatafuta watu wenye uweledi wamsaidie katika management ya Mziki wake. Huwezi Ukamuweka Mpenzi wako ambaye hata hamjaoana kuwa Manager wako ukategemea mafanikio.View attachment 2525256
View attachment 2525257
View attachment 2525258
Binafsi naona ameamua kuamsha walio lala.. Kosa lake ni lipi hapo?

Kuna uwezekano mtoa Mada ukawa ndie unaestahili kuoewa hii elimu maana ni kama huelewi hivi
 
Binafsi naona ameamua kuamsha walio lala.. Kosa lake ni lipi hapo?

Kuna uwezekano mtoa Mada ukawa ndie unaestahili kuoewa hii elimu maana ni kama huelewi hivi
Naona amemtaja mpaka S2kizzy na Tetema, utazani alikiwepo kipindi WCB wakiingia contract na S2kizzy.

Unasema anawaamsha wenzie, yeye maproducer wake walio mtengenezea album 3, wanachukua asilimia ngapi kwenye mauzo ya album yake?, yeye mnafiki na mzurumishi. Hii ni kutaka kiki na kutaka kutrend ,atuambie yy maproducer wake wanachukua % ngapi manake wana hali mbaya kuliko hata S2kizzy.

Mwamba anatafuta kutrend kupitia WCB na siku hizi hawa mjibu ,yy kama kaona kazurumiwa atangulie vyombo vya sheria akapate haki yake.
 
Kwakuwa hajalalamika sehemu sahihi, basi hiki alicholalamika si sawa ni stunts na kutafuta attention.
Angeweza kutafuta lawyer akafungua shauri mahakamani, yaani anaitisha distribution company kwenye 'Insta-story'.
Ganja on fleek.
Harmonize anatumia akili za ganja
 
Naona amemtaja mpaka S2kizzy na Tetema, utazani alikiwepo kipindi WCB wakiingia contract na S2kizzy.

Unasema anawaamsha wenzie, yeye maproducer wake walio mtengenezea album 3, wanachukua asilimia ngapi kwenye mauzo ya album yake?, yeye mnafiki na mzurumishi. Hii ni kutaka kiki na kutaka kutrend ,atuambie yy maproducer wake wanachukua % ngapi manake wana hali mbaya kuliko hata S2kizzy.

Mwamba anatafuta kutrend kupitia WCB na siku hizi hawa mjibu ,yy kama kaona kazurumiwa atangulie vyombo vya sheria akapate haki yake.
S2kizzy mwenyewe kaa zake kivyake hajawahi kulalamika au kuomba msaada wa mtu mwingine yeye ni nani mpaka amzungumzie
 
Binafsi naona ameamua kuamsha walio lala.. Kosa lake ni lipi hapo?

Kuna uwezekano mtoa Mada ukawa ndie unaestahili kuoewa hii elimu maana ni kama huelewi hivi
Hakuna sehemu ya kusema unaamsha sehemu ya waliolala wakati target yake yeye ni kutrend kupitia hao WCB, S2kizzy hajawahi kulalamika au kusema chochote yeye ni nani mpaka azungumzie anaujua vizuri mkataba wa S2kizzy? Hapo pia kamuingiza Rayvanny wakati ni mtu ambaye ana bifu nae muda mrefu mpaka Leo inakuaje awe na uchungu na Rayvanny? Wewe umjui Harmo vizuri
 
Back
Top Bottom