Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote zaidi ya hivi vitumbua.
Vipi ulishawahi kupata hamu kama hii? na ulikula nini kuituliza?
Njooni!
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Leejay49 ⋆
Sister Abigail ⋆
realMamy ⋆ Qashy Lilith⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
ledada ⋆ Carleen
Numbisa ⋆ Mama Mwana
SweetyCandy ⋆ Ellerie Bexley
Vipi ulishawahi kupata hamu kama hii? na ulikula nini kuituliza?
Njooni!
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Leejay49 ⋆
Sister Abigail ⋆
realMamy ⋆ Qashy Lilith⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
ledada ⋆ Carleen
Numbisa ⋆ Mama Mwana
SweetyCandy ⋆ Ellerie Bexley