Ndio chakula cha usiku si VITUMBUA vya usiku vyenye ilikiDahhhh.....
Nimekuja nduki nikidhani ni chakula ile ya usiku mazee...π
Nyuzi zingine muwe mnaweka heading zisizo shitua mtima...π€£
Twende tukalale babe.Sio ice-cream π¦ yangu?! π π
Tangulia kipenz changu, nimemisi kuimba kale kawimbo ketu, 50, 50, 100.. πTwende tukalale babe.
Huwa unafanyaje?Mi nikiwa na hamu na papa huwa silali kabisa!
SijaelewaKupoteza hamu ya kula umepoteza vitamin b ,na vitamin b Kuna type nyingi kwaiyo unachosema vitamin kwaiyo waongezee wenzanko vitamin b ila angalia usiwe bonge nyanya na appetizer iyo
Natafuta papa popote pale nakula na ugali mkubwaHuwa unafanyaje?
NdiyoUmepika mwenyewe?
Ni watamu mno! ππChakula changu pendwa sanaππ,. Hasa dagaa wakipikwa na nazi
Mbona unanitisha π₯Dalili za Diabetes Mellitus hizo
Samahani unaweza kunielekeza kidogo ulivyofanya?Lisaa na nusu π
Nimeloweka mchele, nikausaga kwenye blender, nikaacha kidogo uumuke, nikapika π Vitumbua express!
Bila samahani, Recipe kamili angalia hapaSamahani unaweza kunielekeza kidogo ulivyofanya?
Shukrani Sana, napenda Sana vitumbua ila nilifikiri pishi complicated Sana, sasa nimeona kama naweza kuifanya simple tu kama wewe ndio maana nikaomba maelezo. Thanks in advance