Hamu ya tendo la ndoa wakati wa hedhi

OCC Doctors

Senior Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
113
Reaction score
172
Homoni ya 'Estrogen' hupungua mwanzoni mwa mzunguko wa hedhi na kisha huanza kupanda kwa kasi kwa siku ya pili au ya tatu.

Hii hupelekea mwanamke kupata hisia na hamu kali ya tendo la ndoa akiwa katika siku za kukaribia kupevuka kwa yai.

Ikiwa mwanamke atapata hamu na hisia ya tendo wakati wa hedhi inaashiria utofauti na mabadiliko ya mwenendo wa homoni ya 'Estrogen' katika mwili wake.

 
Aahh hii huwa ni hatari sana kuzidi hata ile ya ovulation.. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hii ndio inaitwa moto wa barafu sasa! 😁
 
Doctor imeishia Kati au itaendelea ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…