Hamza aombewa kila kona

Siku akiwasilisha huko hayo malalamiko yake ndio itakuwa siku yake ya mwisho kuonekana duniani.

Wewe unajua na mtoa mada anajua pia, ukute hao viongozi wake wa kazi wanajua huo mchongo na kuna -% wanagawana.

Mtoa mada amechukua tahadhari zote kwa usalama wake, na mm namshauri asiende physically huko kwenye mamlaka kutoa malalamiko yake.

Atapotea na hataonekana tena duniani, afande Gerald hayupo peke yake kwenye hiyo dhulma.
 
Dah nimekosa cha kuandika.
Basi acha apige poyoyo hapa jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…