Ibnkundende
Member
- May 27, 2022
- 7
- 6
π¨π
π¨ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π¨ππππππ
π°ππππππ ππππ ππππ ππππ πππππ ππππππππππππ πππ.. π΅π ππππππ ππ ππ ππππ πππ πππππ πππ πππ πππππ ππππ.Cha msingi alikipata alichokitafuta, na waliomdanganya ataenda kula uroda wa mahururain 72 , walimwingiza chakike badala ya kuufahidi uroda FUNZA NDIO ZIMEMGEUZA URODA kwa kutafuna na kuingia kila sehemu ya mwili wake
njaa zimehamia kichwani kale kwanza.Umekunya leo?
Maana uharo unaokutoka mfululizo!!
hamza amekufa anarusha risasi unasema alijisalimisha,ni kichaa kinakupelekesha.
Huyu alikuwa Gaidi full stop.
Mtoa mada huyo alikuwa bosi wako nini maana mnateteana magaidi.
Sawa piaKafie mbele!
Ugaidi hauna sura wala tabia wala Rangi Umri jinsia Ugaidi ni Ugaidi tuNa yule wa marekani aliyeua watoto 19 na walimu 2 utamuita jina gani?
Hivi ile barabara ya selander bridge ilivyo bize vile angeamua kuua RAIA ANGEUA RAIA WANGAPI?
kumbuka alikuwa na bunduki 2
Hakujisalimisha kabisa huyu jamaa.Polisi wetu hawana weledi, hawakuwa na sababu ya kumuua mtu aliyejisalimisha!! Walitakiwa wamchukue na kumuhoji na hapo wangejua mengi kuhusu motive yake ilikuwa nini?
Hamza hakujisalimisha huko sio kujisalimisha katu,hoja ya kujisalimisha isiletwe
Hukuona tukio ndugu yangu.Hamza alifia wapi , Kibandani au Barabarani? Hapo barararani alikuwa na silaha? Alifyatua risasi akiwa kibandani mpaka magazine ikakauka baada ya hapo ndio atatoka bila silaha la kulala barabarani; baadae akiwa hapo ndiyo walipomuua!!
Utakufa kwenye battle wewe kwa uzembe huu,mtu ambae hujui kajaipanga vipi unasemaje magazinw imekauka ?Alifyatua risasi akiwa kibandani mpaka magazine ikakauka
Hukuona tukio ndugu yangu.Hamza alifia wapi , Kibandani au Barabarani? Hapo barararani alikuwa na silaha? Alifyatua risasi akiwa kibandani mpaka magazine ikakauka baada ya hapo ndio atatoka bila silaha la kulala barabarani; baadae akiwa hapo ndiyo walipomuua!!
Utakufa kwenye battle wewe kwa uzembe huu,mtu ambae hujui kajaipanga vipi unasemaje magazinw imekauka ?Alifyatua risasi akiwa kibandani mpaka magazine ikakauka
Wanamuita shooter, angekuwa mwarabu wangesema gaidiSifa ya gaidi awe na ndefu ndeefu ila yule wa marekani aliyeua watoto 19 sio gaidi maana hakuwa na ndevu.
Inahitajika ELIMU SANA
Hivi wewe uliangalia lile tukio kweli!? Mbona watanzania tunakuwa watu wajuajia wa ovyoo sana.Hamza alifia wapi , Kibandani au Barabarani? Hapo barararani alikuwa na silaha? Alifyatua risasi akiwa kibandani mpaka magazine ikakauka baada ya hapo ndio atatoka bila silaha la kulala barabarani; baadae akiwa hapo ndiyo walipomuua!!
kwamba kuna video zilitengenezwa.Wewe mwehu tatizo lako uliangalia clip zilizokwisha tengenezwa mimi niliona live kwenye luninga!! Hamza amekufa hana silaha mkononi!
huyu jamaa alivyoacha tu ile daladala nikamwelewa vizuri sana.Chadema mna taabu sana