ndukulusudicho
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 501
- 768
Dah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hajanyongwa...itakuwa ameshaingizwa CIA ila nchi yake ndo inadanganywa amekufaWamemnyonga ili iweje???
Dunia haijawahi kuwa na usawa
Huyo mchizi anaweza kupiga hesabu kichwani muda unaotumika kuoga, hata kwa style ya Hugo Chavez (kuoga mwisho dakika 3 tu), halafu akaona muda unaofaa kabisa kuoga na kubalance shughuli zingine kwa ufanisi kabisa ni kuoga mara moja kwa mwezi.Sku zote watu wenye uwezo mkubwa Sana , huwa hawako balanced, tulipokuwa skul kuna mwamba alikuwa anapiga A za physics na hesabu , na chemistry , jamaa aligonga A , A, A mpak Necta peke yake , ila Maisha yake jamaa kama hayuko Sawa hv , anaweza kaa wiki nzima hajaoga , na yupo rough rough tuu....