johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #201
EXACTLY....DHULUMA HAIFAI, REST IN PEACE HAMZAWote tutakufa. Hamza ameishi mara moja na amekufa akipigania haki yake. Mfano wa kuigwa kwa Watanzania wote. Tukatae dhuluma. Nchi hii imejaa dhuluma. CCM na polisi wanaongoza kwa dhuluma. Hamza ni shujaa. Tukipata Hamza 100 tu nchi hii tutaheshimiana.
kwa zile picha za CCTV nikisema kamanda Sirro ni mzee Zero ntakuwa nasema urongo?Sijui mzee Zirro angesema nini tu...! Kwa kweli shetani amewaumbua. Mzee Zirro hajasema lolote kuhusu ukada wa Hamza katika CCM. Amekauka kama vile hajui chochote kuhusu hilo.
Wewe utaniua. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamza yuko na malaika,kamkuta meko kibarua anajenga sgr na mashetani wenzake
hahhahahaaaaa[emoji2][emoji2][emoji2] hadi jiwe akaenda hospital hahaaa....yule jamaa angetawala miaka kumi mbona bongo ingekuwa jehanumNalikumbuka vizuri sana, ili ku justify kuwa yoyote anaweza kushambuliwa na majambazi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui walilimaliza vp lile tukio.
UjiNga mtupu ambao hauendani na umri wako au ukiwa ccm kichwa kinakosa akiliKatika miaka ile ya 1980s kupata kadi ya CCM ilibidi mtu aingie darasani miezi 3 kisha afanye mtihani na kufaulu.
Ndio maana wanachama wakongwe wa CCM ni watu makini.
Hata Freeman Mbowe kadi yake ya CCM aliisomea ndio maana anajua sana siasa.
Nyakati zile isingewexekana kuwa na akina Hamza chamani.
Huu utaratibu wa kuingiza wanachama kiholela uliasisiwa na Augustino Mrema alipojiunga Nccr mageuzi akauita " kadi za papo kwa hapo" na CCM wakaiga baada ya kuona Lyatonga anazoa wanachama bila jasho.
CCM ni lazima ijifunze sasa!
Mungu ni mwema wakati wote.
Upambavu wake, umemfanya afe kijinga , na kuua askari wasio kuwa na hatia..pale sarenda yanapita madaladala ya kwenda tegeta n.k hayo madaladala yanajaza sana abiria angeamua kuchagua daladala moja akapiga vyuma vya kutosha leo tungesema hamza ni gaidi. mbili.pale mbele ya sarenda kuna benk ya stanbic kama angekuwa jambaz angeingia pale na kumwaga vyuma vya kutosha le tungesema mengine. tatu,kama hamza angekuwa chizi basi asingechagua wa kumtwaga vyuma angepiga yeyote aliyemuona mbele yake.
Ohoooooo!! 😆😆😆Hamza yuko na malaika,kamkuta meko kibarua anajenga sgr na mashetani wenzake
Mazishi yalifanyika usiku.Weka picha, vipi wawakilishi wa ccm chama chake walikuepo?
Katika miaka ile ya 1980s kupata kadi ya CCM ilibidi mtu aingie darasani miezi 3 kisha afanye mtihani na kufaulu.
Ndio maana wanachama wakongwe wa CCM ni watu makini.
Hata Freeman Mbowe kadi yake ya CCM aliisomea ndio maana anajua sana siasa.
Nyakati zile isingewexekana kuwa na akina Hamza chamani.
Huu utaratibu wa kuingiza wanachama kiholela uliasisiwa na Augustino Mrema alipojiunga Nccr mageuzi akauita " kadi za papo kwa hapo" na CCM wakaiga baada ya kuona Lyatonga anazoa wanachama bila jasho.
CCM ni lazima ijifunze sasa!
Mungu ni mwema wakati wote.
Mazishi yalifanyika usiku.
Jiulize kwa nini?