Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao vijana ni wahanga tu wa mfumo wa dhulma uliopo ndani ya PT.
Kleruu naye akiwa mhanga wa mifumo isiyoshirikishi ya Ujamaa.
Hii photoshop imevunja rekodi!! Yaani Hamza anaonekana kuwa na kichwa kikubwa kuliko hata ule mwili wake!!Kada wa chama cha mapinduzi
View attachment 1915395
Kunywa maji wewe sukuma gang”. Ugaidi wake uko wapi huyo kijana?Gaidi let him rot in hell. Kiumbe stupid kabisa.
Maneno yako ya mwisho nikiri tu maneno yako ni machafu.Usiku katoka kukesha bar asubuhi anasema anampigania Allah tusichanganye pombe na mambo ya dini pombe ni haram kwa mujib wa Quran yeye anajidai mtu wa jihad huku ana swaki na beer [emoji482]
Mtoto mjinga ni hasara kwa mamake Toto la hovyo sana hilo
Japo ni ccm ila hiyo picha ni editKada wa chama cha mapinduzi
View attachment 1915395
Gaidi let him rot in hell. Kiumbe stupid kabisa.
Kunywa maji wewe sukuma gang”. Ugaidi wake uko wapi huyo kijana?
Huyu gaidi amekosa malezi ya wazazi
sipati picha Hamza angekuwa chadema