Hamza Mohamed Hassan azikwa makaburi ya Kisutu, Dar. Mazishi yachelewa kutoa risasi zilizokwama mwilini

Hamza Mohamed Hassan azikwa makaburi ya Kisutu, Dar. Mazishi yachelewa kutoa risasi zilizokwama mwilini

Hao vijana ni wahanga tu wa mfumo wa dhulma uliopo ndani ya PT.

Kleruu naye akiwa mhanga wa mifumo isiyoshirikishi ya Ujamaa.

kama kila aliyeporwa haki akiamua apunguze maumivu popote tu,kuna siku atakuja kuuliwa mwano na mtu aliyesakamwa na bosi wake kazini huko.

unafiki mlionao watz juu ya polisi ndio taswira halisi ya asili ya mtanzania,ndio maana mnalalamika milele lakini tatizo haliishi.
 
Rafik yake Siro kazikwa....

Kada wa chama cha mapinduzi
IMG_7609.jpg
 
Usiku katoka kukesha bar asubuhi anasema anampigania Allah tusichanganye pombe na mambo ya dini pombe ni haram kwa mujib wa Quran yeye anajidai mtu wa jihad huku ana swaki na beer [emoji482]
Mtoto mjinga ni hasara kwa mamake Toto la hovyo sana hilo
Maneno yako ya mwisho nikiri tu maneno yako ni machafu.

Samahani kwa maneno yangu.
 
Back
Top Bottom