Hamza Mohamed Hassan azikwa makaburi ya Kisutu, Dar. Mazishi yachelewa kutoa risasi zilizokwama mwilini

Hili lilipaswa kutupwa baharini kama osama au hata kutupwa porini likaliwe na fisi.
 
Mkorinto siku ile polisi baada ya kumpiga na mabomu ya machozi walikuwa wanaweza kumpiga risas ya mguu ili kumkamata.lakn wakaamua kumuuwa.msema peke mshindi.ILA HUU NI UKUMBUSHO TU KUWA JASHO LA MTU HALIENDI BURE.
Polisi walifanya ilivyotakiwa. Aishie kwa upanga atakufa kwa upanga
 

lazima ujue kuanzia leo ili usiendelee kuumia kisaikolojia.

polisi wa nchi ni meno ya utawala wowote ule,bila polisi kiongozi anapoteza amri kwa wananchi wake,lakini bina jeshi rais anapoteza amri kwa nchi nyingine.

so usiulize wanaishije baada ya nchi kupinduliwa,uliza pia wanajeshi watiifu kwa serikali wanakenda wapi baada ya serikali yao kushindwa!!!
 

kafa kishujaa kwa kuua askari,we mbuzi kweli!!

mkiitwa magaidi mnamind,kwa mtu timamu hamza amekosea,kwa magaidi na wagonjwa wa sonona hamza ni shujaa wao.
 
Tutamkumbuka Hamza daima kwa ushujaa wake. Alikufa akipigania haki yake. Siyo kama yule aliyekufa kwa corona pale Mzena.

hizo haki alizipigania migongoni huku akiwapumulia au!!!

maana hata chama chenu nyumbu hakimtambui.
 
Ccm
Ccm ndio asili ya chuki ya kitaifa na muasisi wa chuki ni John Joseph pombe magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…