Lakini hata kama IQ ya aliyempa ile picha ilikuwa ndogo, yeye kama yeye alitakiwa kubaini hilo kosa. Mimi naamin mtu mpaka kufikia level ya hiyo nafasi lazima uwe na experience ya kutosha. Hata wasaidizi/washauri wake lazima wawe na upeo mkubwaHii nchi ina vijana wa hovyooo sana, waliwaza nini hadi wakampa simon siro picha ya uongo n kumwambia hiyo ni ya Cctv cameras
Hawa wakina Siro walipewa hizo nafasi na Magufuli sio kwa kuwa wana weredi bali ndio yale yale ya kulindana tuLakini hata kama IQ ya aliyempa ile picha ilikuwa ndogo, yeye kama yeye alitakiwa kubaini hilo kosa. Mimi naamin mtu mpaka kufikia level ya hiyo nafasi lazima uwe na experience ya kutosha. Hata wasaidizi/washauri wake lazima wawe na upeo mkubwa
hahaha[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] siro na CCTV...bila shaka jiwe atakuwa alihusika kwenye utekaji wa moMimi ninachowaomba Wazazi msituzalie watoto wa aina hii ya Simon. Wasiojua hata kutofautisha picha zilizopigwa na YASHICA na zile zinazotokana na CCTV cameras.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mzee una bifu na polisiAtakumbukwa kwa uwezo wake wa kulenga shabaha & kuua mbwa koko
Hamza ni mpumbavu...Kaka hamza hakufanya makosa kabisa.risasi zake alizitumia vizuri.hakutaka kwenda benk kuiba,hakutaka kumwaga damu za watu japo alikuwa na uwezo huo.kwangu mimi hamza ni SHUJAA.
alitoa 200 millions??? inaonekana alikiwa don kweli kweliWakati Mwamba Hamza anaifadhili CCM ya Magufuli 200m, Ulikua unakata viuono mbele yake Bibie kwa furaha, maiti yake mnaikana pumbavu sana nyie MaCCM
View attachment 1914614
Sipati picha Hamza angekuwa chademaCCM wamegoma kutoa rambirambi? Au watatuma mwakilishi?
Hamza anadai askari wa Sirro wanawaua waislamuHakuacha maandishi, ameonekana kwenye records za video akisema anampigania allah, hilo liko wazi.
Hiyo ya pointing police brutality alikwambia lini ama aliisema wapi?
Magaidi mnajaridu kumtetea gaidi mwenzenu wakati alisema mwenyewe anampigania allah.
Hata mumtetee vipi hamza ni gaidi na amesema mwenyewe.
Anahusika kwa 100%hahaha[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] siro na CCTV...bila shaka jiwe atakuwa alihusika kwenye utekaji wa mo
He had mental issues, that is a serious illness isiyotambuliwa bongo, RIPHamza Mohamed Hassan aliyefanya mauaji pale Selender bridge anazikwa leo na waislamu na rafiki na ndugu zake.
Tukio liko mubashara Global tv!
Mwili haujafika wapi Mkuu?Nasikia mpaka muda huu bado mwili haujafika..s
wenzako wanakwambia ndiyo dini ya hakiHii dini ya ajabu duniani sijawahi kuona
Vipi wewe umeshapima na kujiona mzima?He had mental issues, that is a serious illness isiyotambuliwa bongo, RIP
wanaamini hivyo...nimewahi msikia sheikh mmoja akisemaHuyo allah unampiganiaje? Kumpigania allah ni lazima uue watu? Ama kuua ndio kumpigania allah?
uonevu wa polisi ulikuwa mkubwa sana kipindi cha jiwePumzika kwa amani Hamza. Tunahitaji Hamza wengi sana hapa nchini ili kumaliza uonevu wa ccm na police
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile yake kiboko, eti ilipigwa na CCTV
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Makaburini.Mwili haujafika wapi Mkuu?
Umenena vyema, yawezekana na yeye akachagua wasaidizi /washauri wake kwa mtindo huo huo. Hayo ndiyo madhara sasa.Hawa wakina Siro walipewa hizo nafasi na Magufuli sio kwa kuwa wana weredi bali ndio yale yale ya kulindana tu