Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo tattoo siro.akiiona lazima aruke na wewe[emoji2][emoji2][emoji2]Nitachora tattoo yake kwa paja langu.Hamza ni kati ya wanaume wachache sana tunaowahitaji ktk hii nchi..Vivaa Hamzaa.RIP
yule jamaa angekaa madarakani miaka 10 mbona bongo ingekuwa jehanum[emoji2][emoji2]Anahusika kwa 100%
Hivi Sirro ni msukuma?Hawa wakina Siro walipewa hizo nafasi na Magufuli sio kwa kuwa wana weredi bali ndio yale yale ya kulindana tu
Nchi ya Tanzania ina wapumbavu wengi. Hivi watu hawajui privacy? Hivi watu hawajui mazishi ni mambo ya kifamilia? Huwa nashangaa kuona mtu amefiwa yuko kwenye uchungu na hawa makanjanja wa TV za online wamemzunguka eti wanamhoji!Hamza Mohamed Hassan aliyefanya mauaji pale Selender bridge anazikwa leo na waislamu na rafiki na ndugu zake.
Tukio liko mubashara Global tv!
Too hash and prejudicial statementhili Gaidi lilipaswa litoswe baharini, kuna samaki wana njaa kule
hata Tundu Lissu walipiga marufuku kumuombea wala kuvaa t shirt za Get well soon TundulissuWakafie mbereee
nasikia aliwachangia 200 millionsHamza alichangia pesa kwenye kampeni za Magufuli na Samia na akasaidia wizi wa kura zile za kwenye vikapu. Leo eti CCM hawamtaki. Wanataka awe wa Mbatia! Siasa za kishenzi na kijinga kama kushabikia timu ya mpira!!
sipati picha Hamza angekuwa chademaHakika Hayati Hamza ameacha pengo kubwa CCM.
anadai polisi wanawaua waislamuNajua CCM mnataka kumvisha ugaidi na kufich dhuluma za polisi. Kwanini aliwaacha watu wote including daladala full of passengers akwa target polisi?
Kuna shida kwenye kutafsiri maandiko ya kitabu chao ama kina sintofahamu nyingiwenzako wanakwambia ndiyo dini ya haki
Nalikumbuka vizuri sana, ili ku justify kuwa yoyote anaweza kushambuliwa na majambazi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unakumbuka lile tukio la kutengeneza kwamba kuna mwanajeshi mstaafu amepigwa risasi siku moja baada ya Tundu Lissu kushambuliwa?
Alitoa mkuu, Polepole anajua Samia najua Majaliwa na wana Chunya wanajua.alitoa 200 millions??? inaonekana alikiwa don kweli kweli
Hamza anajinasibu kumpigania Allah, jamaa lilikua kichwa maji jamani
Acha stori zako nduguHata wale magaidi wa kibiti, wale walivamia kituo cha polisi huko mbagala na kuua polisi, wale walivamia bank na kuua polisi peke yake na wale walioua askari 8 wote Modus operandi yao ni moja, kuua polisi.
Ama wale hawakua magaidi kisa waliua polisi peke yake?
Ameshazikwa usiku huu!Mwili haujafika wapi Mkuu?
Probably Mwamwindi had an issue with the RC. Ingawa njia ya kutatua tatizo haikuwa sahihi kabisa, Wale vijana aliowauwa Hamza walikosa nini?Alichokifanya Hamza nakifananisha kiasi na alichowahi kukifanya Said Mwamwindi kwa RC Dr Kleruu.