Hamza Mohamed Hassan azikwa makaburi ya Kisutu, Dar. Mazishi yachelewa kutoa risasi zilizokwama mwilini

Hamza Mohamed Hassan azikwa makaburi ya Kisutu, Dar. Mazishi yachelewa kutoa risasi zilizokwama mwilini

Mkorinto siku ile polisi baada ya kumpiga na mabomu ya machozi walikuwa wanaweza kumpiga risas ya mguu ili kumkamata.lakn wakaamua kumuuwa.msema peke mshindi.ILA HUU NI UKUMBUSHO TU KUWA JASHO LA MTU HALIENDI BURE.

lazima nikuelekeze kijana ili usiendelee kufikiri vibaya kwa afya ya akili yako.

bomu tu la machozi lina launcher yake,ila haikutumika pale ilibidi yule mwamba kachero wa kutoka zanzibar ajitolee kulipekeka.sitakwambia ni kwanini.

risasi yoyote mwilini kwa hamza kumshoofisha ingeamsha hasira zake na kuanza kupiga risasi hovyo,angeua hata wananchi.
 
Ulitaka amuue nani - mamako? Kaua walimdhulumu. Hamza ni mwanaCCM mwenzenu. Msimkane. Alimchangia Magufuli mil 200 za kampeni za wizi wa kura 2020. Sisi tunamsifu kwa ushujaa wake wa kupinga dhuluma hata pale ilipobidi kutoa maisha yake. Tunahitaji hamza 100 hivi kurejesha kuheshimiana Tanzania. Hamza anastahili kujengewa mnara.
kafa kishujaa kwa kuua askari,we mbuzi kweli!!

mkiitwa magaidi mnamind,kwa mtu timamu hamza amekosea,kwa magaidi na wagonjwa wa sonona hamza ni shujaa wao.
 
Hamza ni mwanaCCM mwenzenu. Msimkane. Alimchangia Magufuli mil 200 za kampeni za wizi wa kura 2020. Sisi tunamsifu kwa ushujaa wake wa kupinga dhuluma hata pale ilipobidi kutoa maisha yake. Tunahitaji hamza 100 hivi kurejesha kuheshimiana Tanzania. Hamza anastahili kujengewa mnara.
Ukimuita mbuzi unawadhalilisha mbuzi. Huyu ni mavi siyo mbuzi.Ni kansa na si mbuzi. Ni covid
 
Ulitaka amuue nana - mamako? Hamza ni mwanaCCM mwenzenu. Msimkane. Alimchangia Magufuli mil 200 za kampeni za wizi wa kura 2020. Sisi tunamsifu kwa ushujaa wake wa kupinga dhuluma hata pale ilipobidi kutoa maisha yake. Tunahitaji hamza 100 hivi kurejesha kuheshimiana Tanzania. Hamza anastahili kujengewa mnara.

alimpa 200ml yule mnayemwita dhalimu,leo tena kawa shujaa wa kupigania dhulma,tukiwaita nyumbu mnajaa upepo.
 
Kumbe unajua CCM wote madhalimu!! Hamza ni shujaa. Mwendo kaumaliza kishujaa. Atakumbukwa kuliko yule mwingine aliyekufa kwa korona kama panya pale Mzena.
alimpa 200ml yule mnayemwita dhalimu,leo tena kawa shujaa wa kupigania dhulma,tukiwaita nyumbu mnajaa upepo.
 
Mkorinto kama hamza angekuwa na hasira za kuua raia asingesubiri mpaka ashambuliwe na polisi ndo aue raia.alaf risasi za kumdhoofisha mtu hazizidi 3.na wanajua wapi pa kupiga.kama hawajafundishwa hilo ni tatizo.NARUDIA KUSEMA TENA MSEMA PEKE MSHINDI
 
Hujawahi kuiona umezaliwa umeikuta hiyo uliorithishwa vp in nayo?
Sina dini na sii mtumwa kama ninyi mlioacha mila zenu na sasa mnafuata mila za kigeni wanazoita dini kumbe ni tamaduni zao hasa hizi mila za kiarabu kuanzia utumwa mpaka tukio hili ni madhara yao
 
Hakuacha maandishi, ameonekana kwenye records za video akisema anampigania allah, hilo liko wazi.

Hiyo ya pointing police brutality alikwambia lini ama aliisema wapi?

Magaidi mnajaridu kumtetea gaidi mwenzenu wakati alisema mwenyewe anampigania allah.

Hata mumtetee vipi hamza ni gaidi na amesema mwenyewe.
Wewe ni kati ya mapolisi waliokwiba madini ya shujaa Hamza, si bure.
 
Wewe ni kati ya mapolisi waliokwiba madini ya shujaa Hamza, si bure.
Mkuu, huyo shujaa wenu alisema wapi ameibiwa madini?

Mbona watanzania wengi mna akili kidogo hivi, mnashikwa akili na stori za mtaani za kuambiwa.

Hakuna mahala huyo gaidi amesema alidhulumiwa na polisi. Mimi sitetei uonevu lakini hakuna mahala kuna records kwamba gaidi hamza alidhulumiwa na polisi ama mamlaka za serikali.

Records pekee zilizopo ni kwamba hamza ni gaidi, alikua anampigania allah, hilo halihitaji ubishi.

Hii kwamba alidhulumiwa ni spinning and twisting tu za magaidi wenzake na hamza kupunguza ile gravity ya tukio alilolifanya.
 
Back
Top Bottom