multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,034
- 577
We bado sana!Shahidi wa nini? So unataka familia zingine zizalishe magaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We bado sana!Shahidi wa nini? So unataka familia zingine zizalishe magaidi?
Naheshimu mawazo yako sina tatizo kwa hilo. Nimemuuliza tu huyo jamaa aliyesema wamempendelea sana kumzika, kwani asingezikwa ndo wangekuwa wameikomoa maiti?Mapolisi ya Tanzania ni malevi ya gongo na bange, akili ndogo na wababe kwa raia wasiojielewa tu. Shujaa Hamza amewapa fundisho.
Na Mbowe usimsahau.hili Gaidi lilipaswa litoswe baharini, kuna samaki wana njaa kule
Not at all, hakuna mahali ameacha MAANDISHI kuwa anampigania Allah. Amekufa akitoa indication All pointing to protest against police brutality
Not at all, hakuna mahali ameacha MAANDISHI kuwa anampigania Allah. Amekufa akitoa indication All pointing to protest against police brutality
Hata kama ni Allah yawezekana alikua ana waambia Allah hapendi dhulma vile vile, wahusika waache kutenda dhulmaNot at all, hakuna mahali ameacha MAANDISHI kuwa anampigania Allah. Amekufa akitoa indication All pointing to protest against police brutality
Nani kakupa ripoti alikuwa gaidi?hili Gaidi lilipaswa litoswe baharini, kuna samaki wana njaa kule
waliokukosesha haki unawalipizia...Kwani usipopata haki unauwa wengine? Huyo jamaa atakuwa ni mfadhili wa magaidi
Uko sahihi kabisa, huwezi kusema for certainity kuwa alikuwa nasema Allah akimaanisha kuwa yeye ni ghaid. Labda Allah ilikuwa ya kumuomba Mungu atende haki, awajalie mapolisi watende haki. Wasidhulumu, Yote yawezekanaHata kama ni Allah yawezekana alikua ana waambia Allah hapendi dhulma vile vile, wahusika waache kutenda dhulma
Tatizo watu wanakariri wakiona Allah tu basi wanawaza wanayo jua
wapi alisema hivyo? msije kutengeneza clips mkazivika matakwa yenuanadai polisi wanawaua waislamu
Mauaji yalisababushwa na polisi kutotenda haki, dhuluma! Mungu amuweke Mahali Pema Peponi
Hata kama angewaacha polisi akawatarget washona viatu Tu bado anabaki Kuwa gaidi Tu...maana ameua watu Na amejichukulia sheria mkononiNajua CCM mnataka kumvisha ugaidi na kufich dhuluma za polisi. Kwanini aliwaacha watu wote including daladala full of passengers akwa target polisi?
Huna akili wewehili Gaidi lilipaswa litoswe baharini, kuna samaki wana njaa kule
Tachangia cement mbili z dangote,shujaa wa africaNami nitalichangia
Ngoja nikuulize swaliHata wewe utakufa siku iwe kwa korona ama moyo. Unawezakufa ukiwa umejikunyata kinyonge lakini haitokusaidia usife. Fikiria kuna watu waliishi zaidi ya miaka 90 kama Mugabe lakini mwishoe walikufa na kuzikwa. Chaugua tu unavyokufa - kishujaa ama kinyonge. Usimwone Hamza mjinga kwa kufa kishujaa.
Swali la msingi ni je, polisi walimdhulumu. Kama walimdhulumu, polisi wana kesi ya kujibu.Hata wale magaidi wa kibiti, wale walivamia kituo cha polisi huko mbagala na kuua polisi, wale walivamia bank na kuua polisi peke yake na wale walioua askari 8 wote Modus operandi yao ni moja, kuua polisi.
Ama wale hawakua magaidi kisa waliua polisi peke yake?
Shujaa kabisa, mpinga uonevu wa polisi, Bunge (Ndugai) , mahakama (Mugasha wa hukumu ya Ma DED) na Msajili wa vyama vya siasa MtungiTachangia cement mbili z dangote,shujaa wa africa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shujaa kabisa, mpinga uonevu wa polisi, Bunge (Ndugai) , mahakama (Mugasha wa hukumu ya Ma DED) na Msajili wa vyama vya siasa Mtungi
Kesi aipeleke wapi wakati hata Rais ambaye anategemewa kulinda haki zetu, anawaonea watu anaopashwa kuwalinda... (Mbowe mfano mzuri), Kesi yake angelimpelekea nani?Hata kama angewaacha polisi akawatarget washona viatu Tu bado anabaki Kuwa gaidi Tu...maana ameua watu Na amejichukulia sheria mkononi