Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

Kwa wasomaji mliokuta Mohamed Said anaokolewa na matusi ya akina Faiza, haya ndiyo yaliyopo mbele yetu. Mkiona mzee anahangaika, anasema hovyo, anatukuna basi baadhi ya sababu ni hizi hapa chini



1. Tunasubiri Mohamed Said atuletee nakala ya draft(rasimu) au katiba ya kuandika au kukopi iliyokuwepo, andikwa au tumiwa na Abdul Sykes kabla ya katiba iliyoandikwa/kopiwa na Nyerere.

2. Tunasubiri Mohamed Said atueleze kabla ya kutangazwa kwa TANU mwaka 1954, jina la TANU lilitumika katika mkutano au mkusanyiko gani ambao Adul Sykes au mwingine nje ya Nyerere

3. Halafu kuna sauti hii ya Mohamed Said katika dakika 51-53 akimueleza mtangazaji wa radio kuwa kabla ya mwaka 1952 hakuna aliyemsikia au kumjua Nyerere. Sikiliza hapa

https://soundcloud.com/mwinyimadi/sheikh-hassan-bin-amir-nur-fm

Kisha usome maneno haya ya Juma Mwapachu aliyempa Mohamed Said atueletee kama zawadi. Lengo lilikuwa kuonyesha sisi 'vichekesho' hatujui na wala hatuna mawasiliano na watu wakubwa kama akina Mwapachu.

Hata hivyo, katika maandishi hayo tunapata habari nyingine ikihusiana na introduction iliyofanywa na Hamza Mwapachu kwa Nyerere katika kile alichosema TAA Leadership

Kumbuka TAA leadership wakati huo ilikuwa chini ya Abdul Sykes, hivyo Hamza Mwapachu alimjulisha Nyerere kwa Abdul Sykes kama sehemu ya TAA leadership.

Soma hapa maneno ya Juma Mwapachu

''I still recall the visit vividly
. I was a standard three pupil then and together with my brother Bakari had to sleep in the sitting room leaving our bedroom to the two guests.

Abdul Sykes was then President of TAA and the TAA leadership plus Dar-based political activists who were predominantly Moslems wanted Abdul Sykes to retain the Presidency.

Abdul was eager to secure Hamza's position on the matter given the fact that it was Hamza who introduced Nyerere to the TAA leadership in Dar back in 1949 before Nyerere left for Edinburgh University''

Kwa faida ya wasomaji, tunaweka maneno ya Juma Mwapachu katika tafsiri isiyo rasmi
Tunaomba radhi ikiwa kuna mapungufu yatakayojitokeza. Juma Mwapachu anasema hivi


''Bado nakumbuka kwa uyakinifu. Nilikuwa mwanafunzi wa darasa la tatu na pamoja na kaka yangu Bakari tulilala sebuleni kuacha chumba kwa wageni wawili.

Abdulwahidi alikuwa Rais wa TAA na uongozi wa TAA pamoja na wanaharakati wa siasa wengi wao wakiwa waislam walitaka Abdul Sykes abaki kuwa Rais

Abdulwahid alikuwa tayari kumuafiki Hamza katika suala hilo katika ukweli kuwa ni Hamza ndiye aliyemtambulisha Nyerere kwa uongozi wa TAA Dar es salaam mwaka 1949 kabla Nyerere hajaondoka kwenda chuo kikuu Edimburgh''


Ndipo tunakuja kutafuta ufafanuzi kwa Mohamed Said katika hoja ya 4 na 5

4. Mohamed Said , je bado unaamini kuwa kabla ya 1952 hakuna yoyote aliyewahi kumsikia Nyerere katika TAA HQ chini ya Abdulwahid Sykes?

5. Je, maneno ya Juma Mwapachu ni uzushi au ni ukweli?

6. Ikidhihirika J.Mwapachu maneno yake ni sahihi,utaliomba radhi jamvi kwa upotoshaji?

Je, utawaomba radhi wasikilizaji uliowapotosha katika redio na lini utafanya hivyo?

7. Kama maneno yako ni nkweli, je utakuwa tayari kukanusha maneno ya Juma Mwapachu hapa jamvini na kutuomba radhi kwa kutuletea habari zisizo na ukweli?

Na mwisho, Mohamed ajibu hoja hizi, hatuwezi kuburuzwa tu tukubali hata upotoshaji eti kwavile tunataka kujua mengine.

Haina maana kujua mengine ikiwa yapo tusiyoyajua kama haya tunayomuuliza

Mohamed Said, tafadhali sana usihamishe mjadala na kukwepa hoja.

Tunataka kusahihisha historia ya kivukoni kwa ukamilifu wake.

Hatutaki kuwaacha vijana wamechanganyikiwa kwa hoja kinzani.

Tutaendelea baada ya majibu, vinginevyo ukiri makosa kama tunavyokubali ya kivukoni.

Ahsante

Kwanza ulishutumu Alama Mohamed Said anamtusi Nyerere, tukakuambia nukuu hilo tusi, ukashindwa kunukuu. Ukarudia tena shutuma hizo zaidi ya mara moja, tukakuuliza hayo matusi unayaona wewe tu? Hata Moderator s hawayaoni? Kimya, ukakosa jibu.

Sasa umerukia kuwa eti mimi nnatukana. Tafadhali niambie post namba ipi niliyotukana? Au nukuu hayo matusi yangu kama u mkweli. Hayo matusi yangu uyaone wewe tu moderator asiyaone? Tafadhali msaidie Moderator kwa kubofya "Report Post" ili moderator wanipe adhabu stahiki kwa mujibu wa kanuni za JF.

Ukishindwa yote hayo, unajijuwa u mnafiki kiasi gani.
 
Mudeer Mohamed Said,

Ramadhan Mubarak! Nipo safarini lakini napata muda kiduchu nachungulia darsa lako murua!

Endelea kutoa darsa watu wanajifunza mengi kutoka kwako.

Allah akujaze kheri.
Sharif,
Allahuma Amin.
Maalim Faiza anasema: Elimu bila khiyana.
 
Tangawizi,
Tabu kunipuuza wewe uneshindwa kuachana na mimi umekuja
kunisoma na umeandika.
Kama hukuweza kupata unachotaka miaka 10 iliyopita...sasa hivi sahau kabisa. Endelea na hadithi maana ni sehemu ya maisha ya mwanadamu....wenyewe wanaziita riwaya sababu hakuna ushahidi hata kiduchu. Ni hadithi za kufikirika
 
Hao wanaosisimuka ni lazima wasisimuke sababu umewaandikia wao na hayo ndo wapendayo kuyasikia "uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa na waislam" hivyo lazima wakupigie makofi na kukushangilia! Ndio, lazima wafanye hivyo ikiwa wao hawajui na wewe mzee wao umewaambia Nyerere amefundishwa siasa na Abdulwahid Sykes mwaka 1952!?! Kwanini wasikushangilie!? Unasema Nyerere si lolote si chochote katika historia ya Tanganyika ila kina Sykes family na Waislam wa Dar es Salaam enzi hizo ndo wenyewe, kwanini wasikupigie makofi!?
Uncle...
Ikiwa nitasema kuwa Nyerere si lolote ''credibility,'' yangu itaathrika
vibaya wale waliokuwa wananichukulia mimi kama msomi makini
watanipuuza.

Nimemuonya Nanren kuhusu kuandika mambo ya kuzua.
Nadhani umesoma hiyo post.
 
Kama hukuweza kupata unachotaka miaka 10 iliyopita...sasa hivi sahau kabisa. Endelea na hadithi maana ni sehemu ya maisha ya mwanadamu....wenyewe wanaziita riwaya sababu hakuna ushahidi hata kiduchu. Ni hadithi za kufikirika
Tangawizi,
Sipati wala sitegemei chochote kutoka kwa binadamu.

Allah amenipa zaidi ya nilichotegemea maishani.
Alhamdulilah.

Hakika ni hadithi wala hujakosea.
Hii ndiyo staili yangu ya uandishi na imependwa.

Ama kuhusu ushahidi inategemea msomaji.
Hakuna shida ndugu yangu.

Ikiwa nakukera kwa riwaya zangu unaweza kuacha
kunisoma hutopelekwa polisi.

Nilipokuwa kijana nilimpenda sana mwandishi wa riwaya
Irving Wallace.
 
Moja ya conclusion zake ni kuwa Abdul Sykes ndiye aliyemfundisha Nyerere siasa. Na ili hilo lifanikiwe kuwa kweli, basi ujio wa Nyerere mzobe mzobe kwa kuletwa na Kasela Bantu kutoka Makerere ulikuwa mwaka 1952 akutane na Abdul

Tulijua si kweli kwasababu Nyerere alikuwa katibu wa tawi Tabora
Alihudhuria mkutano mkuu uliokuwa na viongozi wakuu

Kwavile alifanya makusudi ili amhdalilishe Nyerere 'hana umuhimu tena' kama anavyosema akajikuta amesahau na kukiuka kanuni ya uongo i.e usiwe msahaulifu

Ndipo Juma Mwapachu katunong'oneza kwamba aliyemtabulisha Nyerere kwa uongozi wa TAA kabla ya kuondoka ni HamzaTAA

Mohamed anaruka kimanga anasema, uongozi aliokutana nao ni wa Platan

Haijulikani TAA ngapi zilikuwepo Dar!

You can see he is everywhere, fumbled with lock!
Nguruvi3,
Mimi siwezi kusema Abdul alimfundisha Nyerere siasa sina ujinga huo.
Tuko hapa kwa kughitilafiana katika uasisi wa TANU.

Baada ya kusoma ile historia ya Kivukoni na kuona jina la Abdul alipo
ndipo nilipoandika kitabu.

Hapana haja ya kusutana katika hili.
Tuje kwa Nyerere kutambulishwa TAA na Hamza Mwapachu.

Uongozi wa TAA nwaka wa 1949 pale New Street Rais alikuwa Mwalimu
Thomas Plantan na katibu Clement Mtamila.

Mimi katika utafiti wangu sijaona popote pale kuwa Nyerere alikutana na
Mwalimu Thomas Plantan au na Clement Mtamila.

Lakini ikiwa yeyote yule anataka kuamini kuwa Mwalimu Thomas Plantan
na Nyerere walikutana mwaka wa 1949 hakuna tatizo.

Ukifanya utafiti haitakuwa tabu kwako kujua historia ya TAA na viongozi wake.
Baada ya kuandika kitabu suala hili hakika kwangu halina umuhimu tena.
 
Mudeer...
Salaam aleykum...

Ulipo Tupooo...

I can see kama kawaida yako...floating like a butterfly and sting like a bee...

Burudaaaani...
Tangawizi,
In deed kaka hamna kitu.
Ni bahati tu hata kujua kuandika.

Mwenyewe ''ambition,'' yangu nilipokuwa nakua
mitaa ta Gerezani nicheze mpira Sunderland
(sasa Simba) kisha timu ya taifa.

Sikufanikiwa.
 
Ukubali ukatae wewe unaandika simulizi kwa mlengo wa dini zaidi Kisha unaziita historia ya kweli halafu ukiulizwa au kupewa changamoto unakimbilia kusema "kaandike yako nasi tutasoma" ungekuwa msomi wa kweli usingeweza kujibu majibu ya namna hiyo kamwe!!
Uncle...
Hakika naandika historia ya Waislam jinsi walivyopigania uhuru
wa Tanganyika.

Angalia anuani ya kitabu hilo liko wazi.
 
Uncle...
Ikiwa nitasema kuwa Nyerere si lolote ''credibility,'' yangu itaathrika
vibaya wale waliokuwa wananichukulia mimi kama msomi makini
watanipuuza.

Nimemuonya Nanren kuhusu kuandika mambo ya kuzua.
Nadhani umesoma hiyo post.


Soma post yako #35 ikiwa ni majibu kwa Kwezisho:

Kwezisho,
Nasikitika kukufahamisha kuwa baada ya mimi kuandika
kitabu cha Abdul Sykes kumeingia ''disinterest'' kwa hii
historia ya Nyerere kwetu sote.

Nyerere amekuwa sasa si muhimu tena baada ya ukweli
kujulikana katika historia ya AA, TAA na TANU.

Na nadhani baada ya Abdul na Ally Sykes kupewa nishani
katika kumbukumbu ya miaka 50 wa uhuru wa Tanganyika
kutambua mchango wao katika kupambana wa ukoloni sasa
hakuna tena jipya.

Imekuwa kama vile katika ''show,'' pazia limeshushwa.
 
Mudeer eeeh...

Watu kama nguruvi3 daima wasikupotezee muda wako...tokea tumeweka nae mnakasha miaka mitatu sasa imepita na alisema atakwenda andika kijitabu chake kuelimisha jamiii...tumesubiri weee hadi hiv sasa chambilecho hata arifu beee teeeh hajaweza kuumba...ni mtu mwenye mfadhaiko wa akili kama yule mwenzake yericko mdandia nasaba ya nyerere....

Wewe tufundishe history sisi...watu kama nguruvi hawawez kuwa na furaha wakiona vyuma kama hiviii...

Haina jjnsiii...hawawez ifuta history hiii...wavumilie tuuh...ndivyo haqi ilivyooo.
Nguruvi3,
Mimi siwezi kusema Abdul alimfundisha Nyerere siasa sina ujinga huo.
Tuko hapa kwa kughitilafiana katika uasisi wa TANU.

Baada ya kusoma ile historia ya Kivukoni na kuona jina la Abdul alipo
ndipo nilipoandika kitabu.

Hapana haja ya kusutana katika hili.
Tuje kwa Nyerere kutambulishwa TAA na Hamza Mwapachu.

Uongozi wa TAA nwaka wa 1949 pale New Street Rais alikuwa Mwalimu
Thomas Plantan na katibu Clement Mtamila.

Mimi katika utafiti wangu sijaona popote pale kuwa Nyerere alikutana na
Mwalimu Thomas Plantan au na Clement Mtamila.

Lakini ikiwa yeyote yule anataka kuamini kuwa Mwalimu Thomas Plantan
na Nyerere walikutana mwaka wa 1949 hakuna tatizo.

Ukifanya utafiti haitakuwa tabu kwako kujua historia ya TAA na viongozi wake.
Baada ya kuandika kitabu suala hili hakika kwangu halina umuhimu tena.
 
Nguruvi3,
Mimi siwezi kusema Abdul alimfundisha Nyerere siasa sina ujinga huo.
Tuko hapa kwa kughitilafiana katika uasisi wa TANU.

Baada ya kusoma ile historia ya Kivukoni na kuona jina la Abdul alipo
ndipo nilipoandika kitabu.

Hapana haja ya kusutana katika hili.
Tuje kwa Nyerere kutambulishwa TAA na Hamza Mwapachu.

Uongozi wa TAA nwaka wa 1949 pale New Street Rais alikuwa Mwalimu
Thomas Plantan na katibu Clement Mtamila.

Mimi katika utafiti wangu sijaona popote pale kuwa Nyerere alikutana na
Mwalimu Thomas Plantan au na Clement Mtamila.

Lakini ikiwa yeyote yule anataka kuamini kuwa Mwalimu Thomas Plantan
na Nyerere walikutana mwaka wa 1949 hakuna tatizo.

Ukifanya utafiti haitakuwa tabu kwako kujua historia ya TAA na viongozi wake.
Baada ya kuandika kitabu suala hili hakika kwangu halina umuhimu tena.
Ok, kwahiyo hapa tunasema hivi

Nyerere alikutana na viongozi wa TAA mwaka 1949.
Bila kujali ni akina nani, ukweli kuwa alikutana nao umesimama dhahri shahiri.

Juma Mwapachu yupo sahihi kwa maoni yake na kushadidiwa na Mohamed Said
Ushahidi wa maneno ya J.Mwapachu upo katika ukweli kuwa Nyerere alikuwa katibu wa tawi kubwa la siasa nchini -Tabora.

Na alihudhuria mkutano mkuu. Protocol tu ziliruhusu kutajwa

Pili, Nyerere alikutana na Abdul Sykes mwaka 1952 kwa mujibu wa Mohamed Said, Abdul akiwa kiongozi wa TAA

Hili halina maana uwepo wa Sykes unafuta mkutano wa Nyerere na TAA

Kwa mintaarafu hiyo, iwepo katika kumbu kumbu kuwa

1. Kauli ya Mohamed Said akizungumza na Nur haikuwa kweli au sahihi

2. Kwamba, hakuna aliyemsikia au kumjua Nyerere kabla ya Abdul, ni uongo

3. Kwamba, madai ya Mohamed Said yamelenga au yalilenga kupotosha umma

4. Kwamba, makusudi yalitendeka kumdhalilisha Nyerere kwa faida ya A.Sykes

5.Kwamba, madai ya historia ya kivukoni kusahihishwa na hii ya MS yanahitaji fikra na mtazamo mpya (neutral) kwa kutambua makosa ya historia zote

6. Kwamba, Prof Shivj na Prof Saida wawe waangalifu sana wasijeharibu legacy na heshima zao wakiandika historia upya wakaifanyia reference maandiko ya MS.

7. Kwamba, Redio Nur iombe radhi wasikilizaji kwa upotoshaji uliofanywa na mgeni wao Mohamed Said, au yeye awaombe radhi radio Nur

Hivyo basi, kwa pamoja tuseme kuwa; nia, dhamira na mtazamo wa Mohamed kwa Nyerere umejaa chuki. Na kwamba chuki hizo zimepenyezwa katika historia

Redio Nur imetumika kusambaza habari za uongo na uzushi
 
Big Show,
Niko natoa elimu bila khiyana.

Wallahi brother Ritz ndie kanistua...

Nilikuwa napitwaaa na hii ilm ya bure bure...

Naenda zangu salatul insha insha allah nitaunganisha na tarawehe nikirejea naweka kambi hapaaa...

Hao jamaa zetu hata kama hawapendi na inawachoma wavumilie tuuuh...

Ndivyo Haqqi ilivyooo...

Mwaga Nyukii mudeer...
 
Mkuu Nguruvi3 waswahili wanasema ukiwa mwongo basi usiwe msahaulifu.Ustaadhi Mohamed Said ni aina ya watu wenye vipaji vya utunzi na simulizi za hadith narudia tena hadith si kwa bahati mbaya la hasha vitabu vyake au majarida yake tayari yana conclusion anayoitaka yeye lau kama conclusion ikiwa tofauti basi ataiweka kando au ataidharau.

Ustaadhi Mohamed Said uandishi wake umejikita zaidi katika kuidhoufisha uhusiano baina ya Uislam na Ukristo.Anapenda sana kuonyesha picha kwamba waliopigania uhuru wa nchi yetu ni waIslam pekee yake.Nafasi za viongozi wa Kikristo enzi za utawala wa mkoloni anazififisha hadi unashangaa.Mfano Rais wa kwanza wa AA Cecil Matola laiti huyu mwanamama angekuwa si mgalatia sifa zake zingekuwa si haba katika majarida ya Ustaadhi Mohamed,utashangaa zaidi Rais hatajwi kwingi lakini Katibu kwakuwa alikuwa Ustaadhi mwenzake anamiminiwa sifa kibao.
Prof Ngongo,

Sikupata kulijua hilo kuwa Cecil Matola, alikuwa Mwanamama shukran kwa darsa!
 
Mimi huwa nakusoma kule kwenye duru za kisiasa kwa kweli hadi nakuonea huruma umekuwa kama mtu ulierukwa na akili hivii...

It has been three years now since you promised to come with your book...

What happened?...

Tulikuambia wewe ni wa humu humu tuh..

Na Utabakia kuwa wa hum hum tuh...

Ok, kwahiyo hapa tunasema hivi

  • Nyerere alikutana na viongozi wa TAA mwaka 1949.
Bila kujali ni akina nani, ukweli kuwa alikutana nao umesimama dhahri shahiri.

Juma Mwapachu yupo sahihi kwa maoni yake na kushadidiwa na Mohamed Said
Ushahidi wa maneno ya J.Mwapachu upo katika ukweli kuwa Nyerere alikuwa katibu wa tawi kubwa la siasa nchini -Tabora.

Na alihudhuria mkutano mkuu. Protocol tu ziliruhusu kutajwa

Pili, Nyerere alikutana na Abdul Sykes mwaka 1952 kwa mujibu wa Mohamed Said, Abdul akiwa kiongozi wa TAA

Hili halina maana uwepo wa Sykes unafuta mkutano wa Nyerere na TAA

Kwa mintaarafu hiyo, iwepo katika kumbu kumbu kuwa

1. Kauli ya Mohamed Said akizungumza na Nur haikuwa kweli au sahihi

2. Kwamba, hakuna aliyemsikia au kumjua Nyerere kabla ya Abdul, ni uongo

3. Kwamba, madai ya Mohamed Said yamelenga au yalilenga kupotosha umma

4. Kwamba, makusudi yalitendeka kumdhalilisha Nyerere kwa faida ya A.Sykes

5.Kwamba, madai ya historia ya kivukoni kusahihishwa na hii ya MS yanahitaji fikra na mtazamo mpya (neutral) kwa kutambua makosa ya historia zote

6. Kwamba, Prof Shivj na Prof Saida wawe waangalifu sana wasijeharibu legacy na heshima zao wakiandika historia upya wakaifanyia reference maandiko ya MS.

7. Kwamba, Redio Nur iombe radhi wasikilizaji kwa upotoshaji uliofanywa na mgeni wao Mohamed Said, au yeye awaombe radhi radio Nur

Hivyo basi, kwa pamoja tuseme kuwa; nia, dhamira na mtazamo wa Mohamed kwa Nyerere umejaa chuki. Na kwamba chuki hizo zimepenyezwa katika historia

Redio Nur imetumika kusambaza habari za uongo na uzushi
 
Mudeer eeeh...

Watu kama nguruvi3 daima wasikupotezee muda wako...

Tokea tumeweka nae mnakasha miaka mitatu sasa imepita na alisema atakwenda andika kijitabu chake kuelimisha jamiii...tumesubiri weee hadi hiv sasa chambilecho hata arifu beee teeeh hajaweza kuumba...

Wewe tufundishe history sisi...watu kama nguruvi hawawez kuwa na furaha wakiona vyuma kama hiviii...

Haina jjnsiii...hawawez ifuta history hiii...wavumilie tuuh...ndivyo haqi ilivyooo.
Ah mufti ahlan wahsalan, nijalie za mikandani. Ramadhani Karim hapo mikindani, mwatunyima nini! Stareh ya ifta dafu la mikindani sheikh

Naona umekuja na ghadhabu, tuliza moyo, kaa kitako mzee anapata dozi
Mkipiga kelele mnatuchanganya na twaweza ongeza dozi kwa mzee bila sababu

Ndugu yangu hakuna hata siku moja nilisema nitaandika kitabu cha historia
Hayo umeniwekea kinywani 'mpe mbwa jina uweze kumuadhibu'

Pili, Mohamed aendelee na kutoa shule yake, wanaotaka kusikia hadithi waendelee.

Sisi wengine tupo kuweka rekodi sawa ili wasomao kwa ufahamu (comprehension) wasitatizike wala wasijekula mashudu.

Nijaalie
 
Mimi huwa nakusoma kule kwenye duru za kisiasa kwa kweli hadi nakuonea huruma umekuwa kama mtu ulierukwa na akili hivii...

It has been three years now since you promised to come with your book...

What happened?...

Tulikuambia wewe ni wa humu humu tuh..

Na Utabakia kuwa wa hum hum tuh...
Niliahidi lini na kitabu gani? Unaweza kutuletea uzi.

Ni kweli nitabaki humu humu, niliombwa na gazeti fulani nikawaambia mimi ni wa humu humu JF. Lengo ni kuwafikia watu, elimu ni haki yao.

Hata Mohamed kaandika mabuku, kanywa chai na wazungu n.k. bado yupo humu humu

Ah kule duru kumbe unasoma, nakushangaa sasa wewe unasoma habari za mwendawazimu si utakuwa na hali mbaya kuliko yeye!
sheikh inakuwaje hapo
 
Back
Top Bottom