Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Mohamed una ufahamu na ulichoandika? Soma aya za mwanzo halafu za mwisho uone kama zina wiana.Nguruvi3,
Mgumu sana kuelewa.
Hiyo si katiba ya TAA.
Walichoandika TAA Political Subcommittee nakuwekea hapa ingawa
nilikupa rejea nikakwambia ukimsoma Listowel (1965), Pratt (1976)
utapata kila kitu.
Hawa ndiyo watu wa kwanza kuileta katiba ile hadharani.
Mimi nimekuja baadae (1998) lakini kwa staili nyingine ya kwenda
nyuma ya wale wajumbe na kueleza uhusiano wao na umma waliokuwa
wanauongoza.
Nimeeleza kwa nini Abdul Sykes alimtia Sheikh Hassan bin Amir katika
siasa za TAA.
Kwa nini alimtia na Said Chaurembo katika siasa za TAA.
Huyu alikuwa kaka yake Sheikh Abdallah Chaurembo.
(Sheikh Abdallah Chaurembo alikuja kuwa mtu muhimu sana katika siasa
baada ya uhuru kupatikana).
Ana kisa kikubwa sana.
Kwa nini alimleta Earle Seaton kama mshauri wa sheria katika TAA nk. nk.
Wewe umeshikilia kuwa ni katiba ya TAA na unarudia mara kadhaa huku ukidai
sijibu maswali yako.
Hii ilikuwa katiba ya Tanganyika chini ya Gavana Edward Twining katiba
ambayo Twining aliikataa.
Huyu gavana ndiye aliyeomba mapendekezo vipi nchi itawaliwe kutoka kwa
watawaliwa.
Document hili limepotea halipo kokote.
Tulisema kuwa Nyerere ndiye aliandika katiba ya kwanza ya chama cha siasa nchini. Mkasema ilikuwepo ya Abdul Sykes, ndiyo tunauliza.
Mkasema ilikuwa Dodoma imepotea katika mciro film
Sasa mnatulaumu kusema katiba, mnataka twende kwenye document !
Hapana watu wanadai kuona katiba au draft ya Abdul Sykes, kama haipo tubakie na ukweli kuwa hilo ni moja ya transformation alizofanya Nyerere
Halafu utenganishe vitu viwili, katiba ya Tanganyika na katiba ya Chama