Hamza Yusufu naye kuingoza Scotland

Hamza Yusufu naye kuingoza Scotland

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
2023-03-27T132527Z_1122566239_RC2D20AFHYEA_RTRMADP_3_BRITAIN-SCOTLAND-LEADERSHIP.jpg
Ikiwa ni chini ya mieze sita tangu kijana mwenye asili ya Tanzania aitwaye Rishi Sunak kushika uwazir mkuu wa Uiengereza.Kijana mwengine mwenye umri wa miaka 37 aitwaye Humza Yousaf wa chama cha SNP huko Scotland ana dalili zote za kuchakuliwa kuwa waziri wa mwanzo jimboni humo.

Hiyo inafuatia kujiuzulu kwa Nicola Sturgeon kiongozi wa chama chake cha SNP.

Kwa upande wake waziri mkuu wa Uiengereza bwana Rishi Sunak ameahidi kushirikiana na Humza kwa karibu pindi akichaguliwa na chama chake kuliongoza jimbo hilo la Scotland.
 
Huyu alianza siasa mda mrefu alifanya kazi na Ahmed baada ya kufariki akafanya kazi na kina Nicola

Asili Pakistan mzaliwa wa Scotland mama nae amezaliwa Kenya
View attachment 2568158
Kwanini Kenya nchi maskini wanatupita katika kuzalisha viongozi wa kuongoza mataifa makubwa. Obama wa kwao,Sunak ndio wametoa bibi sisi tukatoa babu .
Kumbe na huyu pia.
 
Mashaalahhh
Zamani kulikuwa na ushamba wa kuogopa na kuwatangazia vibaya wenye ndevu.Sasa mambo hayo huenda yamebaki kwenye mataifa ya kishamba shamba pekee. Uiengereza mpaka mrithi wa ufalme ametambua uzuri wa ndevu.
 
Zamani kulikuwa na ushamba wa kuogopa na kuwatangazia vibaya wenye ndevu.Sasa mambo hayo huenda yamebaki kwenye mataifa ya kishamba shamba pekee. Uiengereza mpaka mrithi wa ufalme ametambua uzuri wa ndevu.
kila kitu kiliwai kuwepo vikapotea vinarud tena wala ufugaj ndev sio wa sehem fulan hapana
 
Back
Top Bottom