Hamza Yusufu naye kuingoza Scotland

Hamza Yusufu naye kuingoza Scotland

Nimesema hapo juu uarabuni nchi nyingi ni za kishenzi kwasababu hakuna demekrasia

Kwann wasiwe na na kiongozi anayechaguliwa
Sasa home boy nchi ya kifalme inakuaje na Rais tena au civics mwalimu wako alikueleza hivyo?
 
Nimesema hapo juu uarabuni nchi nyingi ni za kishenzi kwasababu hakuna demekrasia

Kwann wasiwe na na kiongozi anayechaguliwa
oooh sawa nimekuelewa! lakini Monarchy government zinatambulika kama zilivyo democratic government.Uingreza ni mojawapo ya hizo nchi zinazofuata mfumo wa kifalme.Jambo la kuwepo features za democracy au kukosa hilo ni jambo la utata maana hii concept ni ngumu labda kama unatumika mtazamo wa kimarekani(ambao wako biased yanapokuja mataifa ya kiarabu) kueleza democracy sawa ntakubaliana wewe
 
Ukiwa na akili sentensi yangu inahitaji sekunde tu kuelewa ila km ubongo wako umeathiriwa na kile kitabu utaishia kukimbilia kusema saud arabia haina rais
oooh sawa nimekuelewa! lakini Monarchy government zinatambulika kama zilivyo democratic government.Uingreza ni mojawapo ya hizo nchi zinazofuata mfumo wa kifalme.Jambo la kuwepo features za democracy au kukosa hilo ni jambo la utata maana hii concept ni ngumu labda kama unatumika mtazamo wa kimarekani(ambao wako biased yanapokuja mataifa ya kiarabu) kueleza democracy sawa ntakubaliana wewe
 
Zamani kulikuwa na ushamba wa kuogopa na kuwatangazia vibaya wenye ndevu.Sasa mambo hayo huenda yamebaki kwenye mataifa ya kishamba shamba pekee. Uiengereza mpaka mrithi wa ufalme ametambua uzuri wa ndevu.
Ndevu ni ishara ya uaminifu na msimamo. Mwanaume asiye na ndevu hua ni mlaghai haaminiki.
 
Ukiwa na akili sentensi yangu inahitaji sekunde tu kuelewa ila km ubongo wako umeathiriwa na kile kitabu utaishia kukimbilia kusema saud arabia haina rais
Ok!Salman bin Abdulaziz huyu ndiye mfalme wa Saudia na kiongozi mkuu anafatiwa na cabinet ya mawaziri na elite members sasa huyo rais mwingine ni yupi? au who heads monarchy government? president/king/ queen/emperor/empress?
 
Jamaa sio tutusa km wewe kaelewa and he is cool
Sio k km wewe
Sio kaelewa kaamua kutulia maana kakupiga na mfano hai za nchi za kifalme za kimagharibi ilitakiwa upinge au uwaambie na wao mfumo wao sio sahihi unapaswa kusoma kwanza taratibu za nchi za watu ndio uongee
 
Ona ulivyo tutusa

Unafananisha ufalme wa uingereza au spain na ma looser ya kiarabu [emoji16]

Sio kaelewa kaamua kutulia maana kakupiga na mfano hai za nchi za kifalme za kimagharibi ilitakiwa upinge au uwaambie na wao mfumo wao sio sahihi unapaswa kusoma kwanza taratibu za nchi za watu ndio uongee
 
Tatizo ni kwamba wewe ni mjinga then hujifahamu km ni jinga

Ufalme wa nchi za kipumbuvu km uarabuni unafananishaje na wa nchi za magharibi?; Punguza kusoma vitabu vya kijinga
Kilicho kujaa wewe ni chuki na si facts Nikutakie wakati mwema
 
Tatizo ni kwamba wewe ni mjinga then hujifahamu km ni jinga

Ufalme wa nchi za kipumbuvu km uarabuni unafananishaje na wa nchi za magharibi?; Punguza kusoma vitabu vya kijinga
Uliulizwa mwalim wako ajakufundisha civics kwa hali hii inaonesha tu ulivyo zezeta

Zote ni nchi za kifalme wewe twambie moja sio ili ueleweke na sio kuongea bila facts
 
Wewe ni tutusa kasome vitabu uone tofauti ya ufalme wa nchi zilizostaarabika wa magharibi utofautishe na yale malooser ya arabun

Wakati sisi tunasoma vitabu vya kutoa ujinga wewe ulikuwa unasoma vitabu vya kuongeza ujinga
K wewe
Uliulizwa mwalim wako ajakufundisha civics kwa hali hii inaonesha tu ulivyo zezeta

Zote ni nchi za kifalme wewe twambie moja sio ili ueleweke na sio kuongea bila facts
 
Wewe ni tutusa kasome vitabu uone tofauti ya ufalme wa nchi zilizostaarabika wa magharibi utofautishe na yale malooser ya arabun

Wakati sisi tunasoma vitabu vya kutoa ujinga wewe ulikuwa unasoma vitabu vya kuongeza ujinga
K wewe
Kwaheri
 
Back
Top Bottom