kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,204
- 8,315
Zaman pia walikataa ushoga ila sasa wana ndevu na kusapoti ushogaZamani kulikuwa na ushamba wa kuogopa na kuwatangazia vibaya wenye ndevu.Sasa mambo hayo huenda yamebaki kwenye mataifa ya kishamba shamba pekee. Uiengereza mpaka mrithi wa ufalme ametambua uzuri wa ndevu.