Wale majahidina wajinga sana alafu ni wabaguzi kinomaNi Mtanzania?
Ni muda Sasa wa Saudi Arabia kuwa na waziri mkatoliki!!
Ni muda sasa wa Vatican kuwa na Msikiti nchini mwao.Ni Mtanzania?
Ni muda Sasa wa Saudi Arabia kuwa na waziri mkatoliki!!
Kwani Vatican Kuna watu wasio wakatoliki?Ni muda sasa wa Vatican kuwa na Msikiti nchini mwao.
Kwanini wasiwepo?Kwani Vatican Kuna watu wasio wakatoliki?
Kwanini Kenya nchi maskini wanatupita katika kuzalisha viongozi wa kuongoza mataifa makubwa. Obama wa kwao,Sunak ndio wametoa bibi sisi tukatoa babu .Huyu alianza siasa mda mrefu alifanya kazi na Ahmed baada ya kufariki akafanya kazi na kina Nicola
Asili Pakistan mzaliwa wa Scotland mama nae amezaliwa Kenya
View attachment 2568158
Wakenya wataanza kujipambanua sasa kuwa ni mtu wao kama walivyofanya kwa Obama.Asili Pakistan mzaliwa wa Scotland mama nae amezaliwa Kenya
hii inaezekana wenzetu sio wabaguzNi muda sasa wa Vatican kuwa na Msikiti nchini mwao.
kila kitu kiliwai kuwepo vikapotea vinarud tena wala ufugaj ndev sio wa sehem fulan hapanaZamani kulikuwa na ushamba wa kuogopa na kuwatangazia vibaya wenye ndevu.Sasa mambo hayo huenda yamebaki kwenye mataifa ya kishamba shamba pekee. Uiengereza mpaka mrithi wa ufalme ametambua uzuri wa ndevu.
Kamuua muasisi na mtu aliyekua na uchungu na africaalifanya nini ?