Hana mazoea ya kushikiwa simu yake

Hana mazoea ya kushikiwa simu yake

luis diaz

Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
86
Reaction score
208
Nina mpenzi wangu ambae namtazamia kama mke wangu mtarajiwa, amekua ni msiri sana kwenye simu yake mara kwa mara akija kwangu simu inashinda kwenye mkoba na iko silent t, hua namtega namuomba simu yake anajibu hana mazoea ya kumpa mtu mwingine simu yake, mm nipo open sana kwake hata simu yangu siifichi kama yeye, hivi simu za wakezenu hua mnazishika kweli?
 
Wewe unamuandaa kama mke yeye bado hakuoni kama mume mtarajiwa. Roho yake ipo kwingine.
Kama kweli una lengo la kumuoa fanya maamuzi ya kiume siku moja mpe suprise ichukue simu yake mwambie atoe password uone kilicho ndani akikataa basi uamuzi ni wako utapima kama una mke au ni demu tu.
 
Sasa na wewe, simu yake ya nini? Achana nayo utajipa stress buree
 
Nina mpenzi wangu ambae namtazamia kama mke wangu mtarajiwa, amekua ni msiri sana kwenye simu yake mara kwa mara akija kwangu simu inashinda kwenye mkoba na iko silent t, hua namtega namuomba simu yake anajibu hana mazoea ya kumpa mtu mwingine simu yake, mm nipo open sana kwake hata simu yangu siifichi kama yeye, hivi simu za wakezenu hua mnazishika kweli?

Hapo umepigwa
 
Nina mpenzi wangu ambae namtazamia kama mke wangu mtarajiwa, amekua ni msiri sana kwenye simu yake mara kwa mara akija kwangu simu inashinda kwenye mkoba na iko silent t, hua namtega namuomba simu yake anajibu hana mazoea ya kumpa mtu mwingine simu yake, mm nipo open sana kwake hata simu yangu siifichi kama yeye, hivi simu za wakezenu hua mnazishika kweli?
Kama kipindi unampigia simu hapokei halafu anakuja kukutafuta baadae kuwa alikua busy au alikua amelala. Basi jua huo muda alikua kwa mwamba mwingine simu ipo silent ndani ya mkoba.
 
Nahisi unawaza kuwa Ana wanaume wengine ??

Ni kweli upo sahihi unachowaza

Tafta mwingne tu huyo hakutazami ww kam mume wa kumuoa
 
Ana mtu mwingine wa ziada..jiandae kisaikolojia
 
Back
Top Bottom