Hana mazoea ya kushikiwa simu yake

Hana mazoea ya kushikiwa simu yake

Kama anakupa kitumbua simu ya nn,kula sepa.Huyo ana watu wengi..usisahau mpira

Hehehehe we Mwanamke umefikia huku.....??? Ushauri gani huu unatoa kwa Binti mwenzako...

Kwamba asiwe kama Wasafwa wa Uyole,,,,wanauza Fuso la Viazi halafu hela yote wanaishia kula Chipsi....
 
Hehehehe we Mwanamke umefikia huku.....??? Ushauri gani huu unatoa kwa Binti mwenzako...

Kwamba asiwe kama Wasafwa wa Uyole,,,,wanauza Fuso la Viazi halafu hela yote wanaishia kula Chipsi....
🤣🤣🤣🤣🙌
 
Mkuu inaweza kuwa kweli anakupenda na anohofia kukupoteza kwa kuhisi utajua mambo yake..

Kiufupi anamichepuko..
 
Back
Top Bottom