GrenadeHilo ni bomu muda wowote linakulipukia
Nina mpenzi wangu ambae namtazamia kama mke wangu mtarajiwa, amekua ni msiri sana kwenye simu yake mara kwa mara akija kwangu simu inashinda kwenye mkoba na iko silent t, hua namtega namuomba simu yake anajibu hana mazoea ya kumpa mtu mwingine simu yake, mm nipo open sana kwake hata simu yangu siifichi kama yeye, hivi simu za wakezenu hua mnazishika kweli?
Kama kipindi unampigia simu hapokei halafu anakuja kukutafuta baadae kuwa alikua busy au alikua amelala. Basi jua huo muda alikua kwa mwamba mwingine simu ipo silent ndani ya mkoba.Nina mpenzi wangu ambae namtazamia kama mke wangu mtarajiwa, amekua ni msiri sana kwenye simu yake mara kwa mara akija kwangu simu inashinda kwenye mkoba na iko silent t, hua namtega namuomba simu yake anajibu hana mazoea ya kumpa mtu mwingine simu yake, mm nipo open sana kwake hata simu yangu siifichi kama yeye, hivi simu za wakezenu hua mnazishika kweli?