Handbag ya Colleen Rooney inagharimu £7,000

Kweli hii tabia ya kutunza vitu vingi ndani visivyokuwa na faida ni uchafu tu ndani.

Shoga yangu alifariki nguo zake vyombo tumewatunzia watoto wake wana miaka 6 na 4. Mmmh mpaka wakuwe kazi ipo.
Mngeuza wakikua wanunue upya.

Unaweka uchafu kwa miaka 20 ili waje kutupa wenyewe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…