Handeni, Tanga: Wachinja ng'ombe 23 ziara ya Rais Samia

Handeni, Tanga: Wachinja ng'ombe 23 ziara ya Rais Samia

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wa kutoka dini mbalimbali, mapema hii leo wamefanya Dua ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuliombea Taifa.

Akitoa salamu za Mkoa wa Tanga wakati wa mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Mkata leo Februari 23, 2025, mkuu wa mkoa huo Balozi Batilda Buriani amesema mbali na Dua, Wazee wa Wilaya ya Handeni wametoa ngombe 23 ambazo zimechinjwa na wananchi wamekunywa supu ili kusherehekea ujio wa Rais Samia mkoani Tanga.

 
Wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wa kutoka dini mbalimbali, mapema hii leo wamefanya Dua ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuliombea Taifa.

Akitoa salamu za Mkoa wa Tanga wakati wa mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Mkata leo Februari 23, 2025, mkuu wa mkoa huo Balozi Batilda Buriani amesema mbali na Dua, Wazee wa Wilaya ya Handeni wametoa ngombe 23 ambazo zimechinjwa na wananchi wamekunywa supu ili kusherehekea ujio wa Rais Samia mkoani Tanga.

View attachment 3246555
Kwa umasikini wa Handeni na watu wake tunaoujua...hao wanyama mmekwenda nao kuchinja watu wale na wali....ujinga hautaisha milele...watu wetu wamekosa elimu...elimu elimu
 
Kwa umasikini wa Handeni na watu wake tunaoujua...hao wanyama mmekwenda nao kuchinja watu wale na wali....ujinga hautaisha milele...watu wetu wamekosa elimu...elimu elimu
We bwege huijui Handeni labda unaidhania tu, Handeni kuna makabila yamehamia Wairaqw, Wamasai kuna mifugo wengi sana, kuna chakula kingi sana, Wairaqw wanalima maekari ya kutosha. Shida ya watanzania wengi sehemu ht hajafika anaanza kubwabwaja tu na vichuki vyake vya kipuuzi.
 
Wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wa kutoka dini mbalimbali, mapema hii leo wamefanya Dua ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuliombea Taifa.

Akitoa salamu za Mkoa wa Tanga wakati wa mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Mkata leo Februari 23, 2025, mkuu wa mkoa huo Balozi Batilda Buriani amesema mbali na Dua, Wazee wa Wilaya ya Handeni wametoa ngombe 23 ambazo zimechinjwa na wananchi wamekunywa supu ili kusherehekea ujio wa Rais Samia mkoani Tanga.

View attachment 3246555
Miafirika
 
Back
Top Bottom