Haniulizi kwa lolote

That's my kind of woman. Mkuu, umeokota almasi ila hujui tu maana sisi wengine,hayo malalamiko huwa tunajisikia kuyatoa pale tunapokutana na mwanamke mwenye wivu na tatizo la kufuatilia sana.
 
Nitumie namba yake. Kuna jambo nataka kumuuliza anisaidie mkuu.

Tafadhali sana.
 
Anaona kuwa nyie wanaume sio oxygen kwa hiyo anaweza kuishi bila Nyie!!
 
Huyo ni mali na mimi ninapenda kuoa mwanamke wa aina hiyo kwani spendi kubembelezwa.
 
ngoja niwe kama yeye..nimempenda bure.wewe unavyotaka ufanyiwe ni kutiana stress
 
She is smart Lady!!!Yes I call her LADY..

Hataki kona kona..Jielewe..jiheshimu..U win her heart
 
Mkuu tafadhari naomba uniachie huyo broo pls nakuomba, [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Wanawake wa kichagga wababe kweli,
Oa mchagga uone mziki wake....humo ndani.
Utafikiri wacheza boxer ( mike Tyson )
 
Ki ukweli wewe ni mwanaume mwenye wasi wasi mwingi,
Na ina onesha huna experience ya wanawake.
Mwanamke wa namna hiyo mara zote ni mzuri kiasi na mmbaya kiasi.
So naamini utayazingatia mwenyewe mambo mengine sio kila mtu ajue,
Ili mradi mambo yaende.

Pia huyu mwanamke kwa kuwa pesa anayo kiasi basi anao uhakika ya maisha ku a mazuri hata asipoolewa au akiolewa na mtoto anaye,
Hiyo pia inachangia.
Wala usiogope muoe tu, hana shida.
 
Binafsi nimempenda huyo dada anaelements Kama zangu Labda ni baada ya kufundishwa adabu na wanaume ya kuacha kulia lia kumganda mtu maana hakuna faida ila tofauti kidogo me huwa nahitaji huduma kiasi fulani hivi maana siko stable ajira hakuna nko shambani mara umachinga shida tupu
 
Vizuri Barbra,
Muombe mungu akusimamie salama maana kazi za shamba yataka hela nyingi kiasi kufanikisha shughuli hiyo mwanzo mwisho.

Ni vizuri sasa wanawake wa karne hii kutumia mfumo huu kama huyu Dada nadhani itakuwa poa sana na kwenye ndoa nyingi zitadumu kwa muda mrefu.
 
Shambani kuna changamoto sana maana unaweka tu hela kuna muda unasema naacha tu ukifikiria ambazo umeziweka unaamua kuendelea Mungu ni mwema Bado napambana tu niwe stable na mimi
Baba wala usimuache huyo dada tena wewe ndo uache drama zako na Huko Kununa nuna utamkumbuka utakuja na uzi mwingine Am 50yrs natafuta mke tutakushangaa hakuna aliyekamilika labda umtengeneze mwenyewe utakavo
 
Ni kweli kazi ya shamba yataka moyo
Ila kama mtu akiwa serious, baadae ataona faida yake tena kubwa haswa,
Kazi ya shamba inalipa mno.

[emoji1] [emoji2] [emoji2] eti miaka 50 bado anatafuta mke daaah umenivunja mbavu aiseeeee.
 
Hawa huwa hawatanii. Akisema ataondoka, atondoka kweli..

Mimi ninaye wakwangu yupo hivyo hata nikilala nimekumbatia simu anaami nipo JF..

Acha utoto chukua jiko hilo..

Anaacha kupika kwakuwa ulipostpond mambo ya ndoa...

Ni kweli hujui unachokitaka...
 
Unamwonea dadangu ATOTO jmn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…