Haniulizi kwa lolote

Anyenyekewe yeye Mungu bwana!!
Yaani huyu dada nimempenda hadi nimetamani ningekuwa mwanaume.
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji736]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wife bhana!
 
Mwenzako hajawahi omba hela...ww utaweza??

hahaa.....hapo sasa... atoto umeona

nikirudi kwenye mada huyu dada sio mtu wa mchezo mchezo kama ulivoandika ni kweli, basi huyo anakufaa, yaani hana stress wewe ndo unajipa stress, ndo maana kakwambia tuliza akili ujue unataka nini. kumzidi miaka kumi means ana 33 of which ni mdada ameshakomaa sana anajua mengi na kwa kweli anakuzidi akili na busara za kimaisha. ukizubaa watakuibia wenye akili zao wamwoe. hawa wa kufumania leo yuko na fulani kesho fulani ni pasua kichwa, au wenye unyenyekevu wa kinafiki, ni pasua kichwa

kifupi kama walivyosema wengine OA.
 
Hapa kuna dalili ya uchochezi[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Mkuu dawa yake huyo, mchanganye kimapenzi,,, mpige pipe ipasavyo, tena kitaalam, ukimuweza kiivo lazima akuwaze, hakuna dawa zaidi ya hiyo mkuu!!
 
Hapo we mkunje vizuri kwa bedi tu. ..ruka nae kichurachura mpaka mwenyewe atanyooka. ....atakua akikuangalia tu usoni anatema mate ya hamu. ...We endelea kusubiri kubembelezwa tu. .......kamata goma hilo ulitikite kisawasawa sio kulialia tu hapa. .....attention itakuja pale tu utakapomsugua ambapo hajawahi suguliwa......
 
Vip kitandan,hana kelele za mahaba? hahaaaa!!!!
 
Ha ha ha,mimi ndo huwa nawapenda hao mkuu.sio hawa wa uswazi wana gubu hatari.huyo yuko straight and clear na ni muwazi .pia hana unafiki kama hawa mashankupe wengine wa mjini.
Hahaaaa!!!! Mashankupe ndo akina nan
 
Muda kidogo nilikuwaga kajingaaaa.
Full kunyenyekea na kujilizaliza...
Siku hizi nimebadilika na sirudii tena ule ujinga.

Halafu nimegundua kitu,wanaume nao wanapenda tension zetu.
Ukimkaushia anaumiaje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lakini ujue maisha hayaigwi, usinune nununu ukasababisha nyumba ndogo
 
Sasa unasubiri nini kumuoa?Usitegemee kubembelezwa kama mtoto wakati ni mtu mzima mapenzi yakubembelezana na kuchuniana waachie wasiojielewa na watoto wa secondary.Kama anakupenda na wewe unampenda basi hilo ndio la msingi

Nikipata wa hivyo itakua poa sana,sipendi kitu kinachoitwa kubembelezwa,wivu wa kuigiza n.k.

Mtoa mada Aoe tu huyu binti maana ameishamjua vizuri.
 
Huyo dada nimempenda sana, asee kwa kuishi vile sidhani kama anapata stress... Nimempenda mno
 
Ukimwachia huyo utakuja oa mtalaka au sister aliyeasi au aliyetanguliwa na mpendwa wake au .... au. Shauri zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…