Haniulizi kwa lolote

Na alishamwambia kabisa vituko vikizidi anasepa, so muache na hulka zake za kike kike aje azisome nyayo.
 

miss chagga mbona na wewe nimekupenda, upo kama huyo dada very straight.....

Huyu jamaa ndio maana hajaoa hadi miaka 43 kwa haya mambo ya ajabu ajabu.
 
Huyu dada ni kama umenisema mimi tabia za huyu dada sawa na zangu, ukiwa na mimi nikagundua una mtu nikifanikiwa kukuuliza jibu utakalonipa ndo hilo sihangaiki tena kukufuatilia najua kuna kitu sina ndo umekipata huko ila najua utarudi tu na utarudi kweli, sikuulizi mimi ninachoangalia umerudi kuna kitu huko umekosa wewe ni mtu mzima hupangiwi jinsi ya kuishi, ninachotaka uuthamini uwepo wangu basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…