marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Atoto naomba Nitumie vocha ya mia 5 plsShida yake si kuombwa hela, aje nimuombeeeeeee hadi sms yangu ikiingia kwenye simu yake simu inazima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atoto naomba Nitumie vocha ya mia 5 plsShida yake si kuombwa hela, aje nimuombeeeeeee hadi sms yangu ikiingia kwenye simu yake simu inazima.
Sasa hivi nanyonyesha mtoto wa 6 na mwanaume wangu wa darKwa hiyo wewe tayari umeshazalishwa kwa kuwa una mwanaume wa Dar?[emoji4]
Hahahahaha kwa hiyo hajatulia....[emoji15]Nani anasema katulia? Kutulia achia maji mtunguni.
Mkuu ! Huyo demu anavuta bangi ! Kweli tena... ! Wavuta bangi ndivyo walivyo katika mahusiano.. ! Huwa wanakosa bashasha kabisaaa ! Hawanaga interests wala nini ! Mtu akuwa amelizika kwa kila kitu..!
Akinipa nitamgawia kidogo.Uwage unampa mwanaume wako pesa na wewe
What are you trying to insinuate?Nani anasema katulia? Kutulia achia maji mtunguni.
Nitumie laki ili nikutumie vocha.Atoto naomba Nitumie vocha ya mia 5 pls
Mm nina shidaNitumie laki ili nikutumie vocha.
Hata mimi nina shida ndio maana nimekuomba, we nitumie tu yaani fastaa nakutumia hiyo vocha ya mia5.Mm nina shida
Ningekuwa na laki nisingehitaji 500Hata mimi nina shida ndio maana nimekuomba, we nitumie tu yaani fastaa nakutumia hiyo vocha ya mia5.
ExactlyHakuna aliyekamilika mkuu...shukuru kwa huyo alivyo...wengine hawavumiliki...yaani huyo keshaisoma hii dunia na ameona akiendekeza vitu hivyo ataumia bure...huyo amejiwekea kinga ya kisaikolojia..yaani huwezi mzingua kabisa...as long as anakupenda na anatimiza majukumu yake vyema...shukuru Mungu kaka...akina atoto hawajatulia kabisa.
Hahahh umemalizaKwanza huyu dada ana economic power inayompa ujasiri flani hivi.
Habembelezi mapenzi.
Pili,amechagua kuishi free stress life,amekupenda kwa akili na sio moyo. Moyo wake kazi yake ni kusukuma damu tu,hataki ujihusishe na mengine.
Tatu mapenzi ni kubembelezana,kama yeye hakubembelezi basi mbembeleze yeye,usijenge kuwa anayetakiwa kubembelezwa ni mwanaume tu.
Mwisho kabisa acha vituko,akichoka ataondoka kweli,ninavyomjua hataniagi...
Ohooo...
Hahahaha eti kununiana hahahaha hyu itakua aliruka stage @43 unawaza kununiana wkt we dd that @18-20Ndio namshangaa huyu baba anataka kubembelezwa na utu uzima huu kama mtoto eti mambo yakuanza kununia jamani kazi ipo
Sijasema hivyo.Hahahahaha kwa hiyo hajatulia....[emoji15]
Na umri huo halafu ananuna,ujue sipatagi picha mwanaume akinuna anakuwaje?Hahahh umemaliza
Halafu atabak na uzee wake @43