Haniulizi kwa lolote

Haniulizi kwa lolote

Inawezekana hata hisia za mapenz hana kabisa, pengine huyu dada hapo awali alitendwa, na aliharibika kisaikology, nakushauri kwanza kujua maisha yake, history pamoja na relationship alizo pitia, hio itakusaidia wewe kumuelewa,

Usikimbilie kuowa pengine huko atakutesa zaid, unaweza ukaja dai papuchi pengine hana feeling kabisa, huo mwanzo wa kukwambia anakupenda ni njia ya kutafuta mtu wa kummalizia haja zake, ni mawazo yangu tu
 
Mkuu ! Huyo demu anavuta bangi ! Kweli tena... ! Wavuta bangi ndivyo walivyo katika mahusiano.. ! Huwa wanakosa bashasha kabisaaa ! Hawanaga interests wala nini ! Mtu akuwa amelizika kwa kila kitu..!

Wewe muongo mbona mimi navuta bangi, na hapa nimevuta. Mke wangu anenjoy kuliko kawaida. Tukipeana haki yetu ya ndoa namkanda mgongo mpaka analala, na akiamka tu nampa makiss kama nane tisa hivi mpaka anatoa smile la kipekee? Hakuna original kama bangi.
 
Wanawake wa western Europe hawako hivyo hata huko America, wana mapenz kama sisi waafrica au zaidi, wanabembelezana wanaulizana, hata kama wako busy vipi na out wanatoka pamoja, nikuulize wewe muhusika ushawahi kutoka nae out huyo bint? Umeonaje kama ulitoka nae, msome kwa kupitia macho na vitendo na feeling
 
Hakuna aliyekamilika mkuu...shukuru kwa huyo alivyo...wengine hawavumiliki...yaani huyo keshaisoma hii dunia na ameona akiendekeza vitu hivyo ataumia bure...huyo amejiwekea kinga ya kisaikolojia..yaani huwezi mzingua kabisa...as long as anakupenda na anatimiza majukumu yake vyema...shukuru Mungu kaka...akina atoto hawajatulia kabisa.
Exactly
 
Bbbbbbbboooooooooonnnngggggeeeeeee Moja Ya Mwanamke. Kama Anavuta Bangi Mnunulie Magunia Weka Ndani.
 
Issue hapa ni moja tu!!
Una Amani na Furaha naye?
YES, Unajua nini cha kufanya!
NO, Unajua nini cha kufanya!!
Period!!
 
Kwanza huyu dada ana economic power inayompa ujasiri flani hivi.
Habembelezi mapenzi.

Pili,amechagua kuishi free stress life,amekupenda kwa akili na sio moyo. Moyo wake kazi yake ni kusukuma damu tu,hataki ujihusishe na mengine.

Tatu mapenzi ni kubembelezana,kama yeye hakubembelezi basi mbembeleze yeye,usijenge kuwa anayetakiwa kubembelezwa ni mwanaume tu.

Mwisho kabisa acha vituko,akichoka ataondoka kweli,ninavyomjua hataniagi...
Ohooo...
Hahahh umemaliza
Halafu atabak na uzee wake @43
 
Ndio namshangaa huyu baba anataka kubembelezwa na utu uzima huu kama mtoto eti mambo yakuanza kununia jamani kazi ipo
Hahahaha eti kununiana hahahaha hyu itakua aliruka stage @43 unawaza kununiana wkt we dd that @18-20
 
Hahahh umemaliza
Halafu atabak na uzee wake @43
Na umri huo halafu ananuna,ujue sipatagi picha mwanaume akinuna anakuwaje?

Wanaume wanatoweka kwa kasi sana aisee,tunabaki na wanaoigiza kuwa wanaume.
 
Back
Top Bottom