Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kwa hiyo wewe tayari umeshazalishwa kwa kuwa una mwanaume wa Dar?[emoji4]Halafu ni mwanaume wa mkoani angekuwa wa dar sasa hivi wangekuwa wameishazaa na kuzaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe tayari umeshazalishwa kwa kuwa una mwanaume wa Dar?[emoji4]Halafu ni mwanaume wa mkoani angekuwa wa dar sasa hivi wangekuwa wameishazaa na kuzaa
Nyie..!! mmmh ndiyo maana nawapendea hicho!! Wenzetu washafika anga za juu huko, siye tupo kwenye kochi twanuna!!😛😛😛Yani mbaba wa miaka yake kadhaa eti ananuna ili aulizwe like seriously? Unajua kuna umri unafika unaact kuendana na umri sasa anataka abembelezwe aulizwe ulizwe yani aiseee mambo mengine sio kabisa.Bidada kamuona kwa huo umri wake hastaili kufanyiwa drama za secondary ila baba wa watu ndio anataka kuanza kuonewa wivu na kununiwa[emoji1]
Wewe hata ungekuwa mwanaume ungependa kuomba pesaMsome vizuri ujiongeze.
Ha ha ha sasa ikifika hapo mkuu panakua pabaya...manake hakuna haja ya kuwa na mume tena..Pale unapokuwa unahitaji dyu dyu tu, napo sio lazima kihiiivyo!! Ndio hili sasa!
Mmmh kama ulikua unachungulia mawaazo yngkichwani kwangu vileunaweza kusema hivyo kwa upande 1, utakuwa right. But huyu mdada anakid na jamaa anakid. Kiuhalisia kuna vuta n kuvute hapa. So inawezekana situation imemfanya awe hivyo kutokana na background yao.
Pia, may be mshkaj hana jipya kwa huyo mdada..awepo asiwepo hapungukiwi kitu. Akimpata better than this man lazima atakuwa mwanamke tu kama wengi tulivyowazoea. Love is feelings..manzi hana feeling kwa jamaa yupo tu kutokana na situations. Na pia age ya wote imeenda...[emoji6][emoji6][emoji6]
Mwanamke anajitambua sana huyu, huyu mwanaume ndio tatizo. Na kwa bahati nzuri mwanamke ashamjua so anakwenda nae atakavyo.Yani kabla sijasoma hii comment yako nimewaza kama ulichoandika.Nimempenda bure ila huyo mwanaume ndo anapata tabu.
Eti eeeh!! Na ningekuoa wewe maana usingeniomba hela.Wewe hata ungekuwa mwanaume ungependa kuomba pesa
Jamaa eti anaomba apewe nafasi ya kuwa alone anapewa anaanza kuuliza tena!! Haki huyu mwanamke konyooo, anajua anachotaka so hasumbuliwi kichwa na mapenzi ya kiform two.Ha ha ha sasa ikifika hapo mkuu panakua pabaya...manake hakuna haja ya kuwa na mume tena..
Nani anasema katulia? Kutulia achia maji mtunguni.
Uwage unampa mwanaume wako pesa na weweEti eeeh!! Na ningekuoa wewe maana usingeniomba hela.