rosita
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 509
- 469
Pamoja na umri wako una akili za kitoto sana...na huyo dada ni super wife material....she does not deserve u...me ni mwanamke but kama ningekuwa mwanaume ningependa nipate mwanamke matured kama huyo...we unataka mwanamke atakayekutext 24 hours....anayelia lia na kususa susa...no My brother behave kama matured man....hiyo dada anajiamini na usipomuoa wewe ataolewa tu trust me hata kama ataturn 40..hataki watu wa mchezo mchezo