Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
....
....Library
....Library
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And you are quite happy in your soul?Lets see what happens wakigoma. Bandari itasimama na meli hazitashusha mzigo. So kutakuwa na msongamano wa meli bandari ya Dar na kuifanya isikubalike zaidi. Wateja watahamia Mombasa kwa wingi. This will cost Tanzania big time.
Hivi unajua mkandarasi/contractor ni nani na engineer/mhandisi ni nani? Ni kweli Magu siyo Engineer, yeye ni mwalimu wa CM lakini tofautisha kati ya Engineer (mhandisi) na Contractor (mkandarasi).Kumbe Magu si unjinia?mbona anajifanya kama mkandarasi
Uongo mtupuYuko mahakamani sasa, ameunganishwa na kesi ya kutakatisha fedha, inayowakabili mwenyekiti wa club ya Simba na wenzake....
Jamaa ni mwalimu wa chemistry na Maths.Kumbe Magu si unjinia?mbona anajifanya kama mkandarasi
Tutakupima mkojo soonMweh,waziri wa hovyo kuliko wote ndo AMiri jeshi mkuu,utaisoma number,now I see why Mo alitekwa.In short Mo katekwa na Siri kale.
Yupo mikononi mwa Polisi mpaka sasa.Hilo ndilo lililomfanya Pope kukimbia nchi, hadi leo hajulikani alipo
Alirudi kufanya nini naye, ukisikia kirogo ndio hikiYupo mikononi mwa Polisi mpaka sasa.
Mambo ya serikali makubwa.!Alirudi kufanya nini naye, ukisikia kirogo ndio hiki
Mbona wanashindwa kumrudisha mangeMambo ya serikali makubwa.!