Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Bora njia ya reli ifufuliwe tu,Usafirishaji wa bidhaa kwenda sokoni kupitia barabara ndiyo umeufikisha mfumuko wa bei hapa ulipo.I think Magufuru's attitude towards Transporters is a blessing in disguise!!
Hiki kisasi ndiyo kinamtafuna Zakaria Hans mpaka sasa, huu ni utawala wa visasi kwa 100%
 
Huyo HANS POPE ni -------- tu, kama wakigoma wagome wao, hata hivyo malori kutoka nje yanaendelea na safari. Na nyinyi munompa kichwa na kumsifia HANS POPE ni wapuuzi tu, inawezekana hamumujui magufuli. Ngoja niwape mfano mdogo wa mjinga mmoja aliyekuwa na kiburi na dharau kama HANS POPE jinsi magufuli alivyo mfanya kitu mbaya.....

Kuna jamaa mwarabu mmoja anaitwa Zakheimu alikuwa mkandarasi mkubwa sana hapa nchini, siku moja wakandarasi wakaandaa mkutano na magufuli akaalikwa kama mgeni, kilichotokea ni kwamba MAGUFULI alichelewa kufika kwenye mkutano, MAGUFULI alipofika kwenye mkutano yule ZAKHEIMU akamfuata MAGUFULI na kuanza kumtukana nanukuu "yaani waziri mzima unachelewa kwenye mkutano sikutegemea kama waziri unaweza kuwa na akili ya ajabu kiasi hiki na hatukutaki tena kwenye mkutano" Magufuli akamjibu ZAKHEIMU nanukuu "wewe mwarabu unatoa wapi jeuri ya kunitukana mimi waziri tena wewe ni mgeni ndani ya hii nchi, sasa tutaona, nahakikisha kuanzia leo kampuni yako haipati kandarasi au tender yoyote labda ya kutengeneza bara bara za mtaa, labda mimi sio magufuli nakuapia" tokea hapo mpaka leo kampuni ya ZAKHEIMU imekufa na nasikia siku hizi ZAKHEIMU ameamua kuokoka. Zamu ya huyo kibaraka HANS POPE inakuja, kumbukeni magufuli haonei mtu bali anasimamia sheria na ndicho kinachotakiwa kwa kiongozi bora "utawala wa sheria"
mmh
 
Yuko DR Congo ana kibarua cha kufundisha waasi

Sijui yuko wapi lakini kama bado yuko hai atakuwa amezeeka sana

Eugine Maganga ni marehemu kwa sasa. Aliugua ugonjwa wa kisukari na baadaye kufariki. Apumzike kwa Amani.
Mkuu wakati wa kesi ile nilikuwa ndio niko chuo, kwakweli nilikuwa naifuatilia kwa karibu sana hasa sio kwa kufurahia uasi au mapinduzi bali ujasiri wa hao maofisa vijana wa jeshi.
Na kama inteligensia ya wakati ule ingekuwa hii ya sasa ya kufuatilia watu wa mitandao, nani hamsifu nano na mambo ya kibashitebashite hakika hao wakina Hanspope na wenzake wangeibadilisha historia ya nchi hii
 
Zinatafutwa kila sababu kuhalalisha haramu na kuharamisha juhudi za kiongozi wetu
 
Uongozi wa visasi haujengi, ndio maana kiongozi unatakiwa kuwa na ngozi ngumu kukubaliana na unaotofautiana nao na hata wale unaotifautiana nao
 
Back
Top Bottom