Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Mhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye ana chuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.

Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza kwanini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.

Amesema Magufuli ndio Waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo.

Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.

Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.

Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho.

Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!
Ushauri wangu aendelee kupumzika alipo hadi itakapoamriwa vinginevyo.Aangalie mfano wa akina kitilya,malinzi,ruge,singasinga n.k.Potea kabisa Hanspope.
 
Hans Poppe ni commando,huwezi kumpata kijinga jinga.
Yani mkurugenzi wa takukuru kaapishwa juzi tu eti Leo Hans anatafutwa,what a coincidence?
Rigged whitch hunt!
Tunajenga taifa la hofu! Kosa la madai ya kodi tena kwa taasisi ya mpira, Halina uwiano na tamko Kamanda Takukuru kumtafuta MTU kama gaidi!?Ushauri wangu kama Kuna hoja binafsi kupishana na mkuu zamani ,sisi wakristu tunaaswa kusamehe 7*70! IPO Hatari tukawapoteza Watanzania wenzetu kwa kuhamisha biashara zao.
 
Yuko DR Congo ana kibarua cha kufundisha waasi

Sijui yuko wapi lakini kama bado yuko hai atakuwa amezeeka sana

Eugine Maganga ni marehemu kwa sasa. Aliugua ugonjwa wa kisukari na baadaye kufariki. Apumzike kwa Amani.

Mhhhh naanza kuelewa kitu, kadego =DRC waasi, Hans = Tanzania malori DRC, kagame = Maslahi Rwanda..hahahaha
 
Yeye anasema Magufuli ana chuki binafsi na transporters, mimi nasema yeye ana chuki binafsi na Magufuli.

Miezi kadhaa iliyopita alikuwa akihojiwa na kipindi cha television (sikumbuki kituo gani), jamaa aliyaongea hayahaya, tena kwa dharau na kebehi kubwa kwa magufuli utafikiri anamuongelea mtoto wake. Nilijiuliza sana huyu jamaa anapata wapi kiburi hiki? Nikahisi kuna nguvu nyuma yake na si bure!

Inawezekana jamaa ana hoja, lakini jinsi anavyowakilisha hoja zake inaudhi.

Simuungi mkono Magufuli, lakini si vema pia mtu kuwasilisha hoja kwa dharau kwa waziri mwenye dhamana!
Duh, kumbe kimbembe kilianza kitambo
 
Eti zawadi nono itatolewa kwa mtu atakayefanikisha kukamatwa alipo Hans Poppe,what a joke?
Halafu wanajua alipo Ila kumkamata ndio hawawezi.
Ngoja niwape clue,yuko Israel,Tel Aviv nendeni mkamchukue.
Hans Poppe alikuwa rafiki mkubwa wa Yoni Netanyahu (mdogo wa Benjamin Netanyahu)who commanded the Israel elite commandos in Operation Entebbe.Iddi Amin Dada angekuwa hai angewasimulia kidogo.
Kila la heri,I have given you the location.
 
Eti zawadi nono itatolewa kwa mtu atakayefanikisha kukamatwa alipo Hans Poppe,what a joke?
Halafu wanajua alipo Ila kumkamata ndio hawawezi.
Ngoja niwape clue,yuko Israel,Tel Aviv nendeni mkamchukue.
Hans Poppe alikuwa rafiki mkubwa wa Yoni Netanyahu (mdogo wa Benjamin Netanyahu)who commanded the Israel elite commandos in Operation Entebbe.Iddi Amin Dada angekuwa hai angewasimulia kidogo.
Kila la heri,I have given you the location.
Wewe mukubwa mbona umetuchimba mkwara kiasi hicho?
 
Ila zamani watu walikua jeuri jaman, haswa wafanyabiashara walikua na nyodo mnoo, angalia huyu jamaa alivyothubutu kumtukana Waziri mzima tena mbele ya kamera, ukitaka kujua utam na karaha ya dunia mjibu tu Mkuu wa Wilaya shit sasahivi ndio utaita maji mma
Wewe siyo mpenzi wa simba
 
Haya sasa Bwana Hans Poppe pambana na hali yako.
Usiyempenda kaja, japo inauma nakushauri vumilia tu
Wekeni akiba maneno yenu, hatimaye Magufuli is fighting a former military officer, tena mtu pekee aliyethubutu kuwaza na kujaribu kumpindua Rais Nyerere - he is not just another guy you know ...and he hasn't lost his love for the trigger u know...and he hasn't lost his class you know....sasa wekeni akiba maneno yenu! Hamjiulizi tu Magufuli alikosaje kumkamata? Tulieni
 
Mhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye ana chuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.

Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza kwanini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.

Amesema Magufuli ndio Waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo.

Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.

Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.

Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho.

Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!
kumbe tatizo lao limeanzia mbali hivyo?
 
Nakubaliana na wewe sana. Anaongea kwa kumdharau saba Magufuli. Na mimi pia nimejiuliza sana hii jeuri yake abaitoa wapi?

Ni kweli Magufuli kwa mtazamo wangu ni kionhozi wa wasi wasi ambaye kapata bahati ya kukubalika sana, lakini si rahisi kumdharau hivi mbele ya kadamnasi mtu kama yeye ambaye wengine wamefikia hadi kumpendekeza agombee urais
Mkuu kumbe kufukua makaburi waweza kukutamo marehemu alizikwa na tofari la dhahabu ikawa ni faida, kuliko ambavyo kila mtu hulaani kufukua makaburi akiangalia mambo hasi pekee!
 
Back
Top Bottom