Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,123
- 2,449
Aslaam Aleykum wadau wa hapa JF.
Acha niende direct kwenye Mada.
Mimi ni mdau mkubwa sana wa michezo hasa basketball, Lakini football pia nafuatilia. Pia ni mdau mkubwa sana wa Media, Napenda Kusikiliza Uchambuzi wa Mpira wa miguu pale Sports Extra, Hili game, Sports Bar, Sports roundup kwa pale Clouds Media, Lakini pia Sports Arena na Sports Court pale Wasafi Media na wanachambua vyema na unapata Updates za sports kibingwa kabisa..
Kuna mchambuzi mmoja ananivutia sana uchambuzi wake. Ni mchambuzi wangu bora Akiwa nyuma ya The Morogoro Magic fingers "Farhan Kihamu" na Mwalimu "George Ambangile" Hawa washkaji wawili ni mafundi wa Mpira kwelikweli. Huyu jamaa si mwengine Bali ni Hans Rafael toka Wasafi media, In short chalii anavijua, Ana details nyingi sana about football, una'enjoy akiwa anachambua ball..
Kilichonifanya niandike Uzi huu niyeye Ku'sound kama George Ambangile, Sijajua kama labda ni role model wake au laa. Huwa napata ugumu sana kuwatofautisha kuwa hii sauti ya Ambangile au ni Hans mpaka watajwe majina ndio nasema Aanhaa kumbe ni Hans. Sijajua kama anamuiga Ambangile au sauti zao tu zinafanana. Au nyie mnaonaje?
@NgarenaroBoy.
Acha niende direct kwenye Mada.
Mimi ni mdau mkubwa sana wa michezo hasa basketball, Lakini football pia nafuatilia. Pia ni mdau mkubwa sana wa Media, Napenda Kusikiliza Uchambuzi wa Mpira wa miguu pale Sports Extra, Hili game, Sports Bar, Sports roundup kwa pale Clouds Media, Lakini pia Sports Arena na Sports Court pale Wasafi Media na wanachambua vyema na unapata Updates za sports kibingwa kabisa..
Kuna mchambuzi mmoja ananivutia sana uchambuzi wake. Ni mchambuzi wangu bora Akiwa nyuma ya The Morogoro Magic fingers "Farhan Kihamu" na Mwalimu "George Ambangile" Hawa washkaji wawili ni mafundi wa Mpira kwelikweli. Huyu jamaa si mwengine Bali ni Hans Rafael toka Wasafi media, In short chalii anavijua, Ana details nyingi sana about football, una'enjoy akiwa anachambua ball..
Kilichonifanya niandike Uzi huu niyeye Ku'sound kama George Ambangile, Sijajua kama labda ni role model wake au laa. Huwa napata ugumu sana kuwatofautisha kuwa hii sauti ya Ambangile au ni Hans mpaka watajwe majina ndio nasema Aanhaa kumbe ni Hans. Sijajua kama anamuiga Ambangile au sauti zao tu zinafanana. Au nyie mnaonaje?
@NgarenaroBoy.