Hans Raphael: Yanga bado ni bora sana kuliko Simba SC

Hans Raphael: Yanga bado ni bora sana kuliko Simba SC

Hata kikosi kilichocheza ngao ya jamii pia hakikuwa na magoli mengi na waliofungwa walishangilia kufungwa goli chache kama ilivyokuwa Kengold. Inawezekana team hizi mbili zinafanana uwezo
Kiweke hicho hicho tuone kama kuna ongezeko lolote
 
Yanga mnajiamini sana ,
Ila Mchezaj wenu aliye na Form nzuri so far ni Max na Mudadhir .
Wengne wanajitafuta.

Ila Simba ni hii

1. Camara
2. Kapombe
3. Hussein
4. Hamza
5. Che Malone
6. Kagoma
7. Kibu
8. Fernandes
9. Ateba
10. Ahoua
11. Mutale

Kwa Simba hapo ni Mutale tu ndio kama haeleweki, ila hao wengine ni moto sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom